Hakuna nia ya kuondoa umasikini tanzania- a. Mkulanga

mpekuz2009

New Member
May 10, 2012
3
0
Ili jambo lolote lifanikiwe duniani linahitaji mambo matatu: nia, sababu na uwezo.

Katika utelezaji likupungua moja kati ya mambo haya huwa hakuna mafanikio. Lakini jambo kubwa zaidi katika haya ni NIA.

Katika misahafu ya Mwenyezi Mungu na mafunzo ya manabii tunausiwa kwamba kila amali ya mja huanza na nia. Hata wahenga wetu wanasema, “Penye nia pana njia.” Katika nia ndipo zilipo fikra na ubunifu, uwajibikaji na uadilifu, kujitolea na kuthamini utu.

Kwa mnasaba na Tanzania na tatizo kubwa la kuongezeka zaidi kwa umaskini - sababu za kuondoa umaskini zipo; uwezo wa kuondoa umaskini upo; lakini nia ya kisiasa na kiuongozi ya kuondoa umaskini haipo. Kila mmoja wetu anafahamu fika kwamba kiini cha umaskini wetu si uvivu wa wananchi kwamba hawataki kufanya kazi kama wengi wa “wataalamu” wenye dhamana wanavyosema.

FULL STORY>>>>>>

 
Back
Top Bottom