Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Nimejaribu kuangali kupitia umoja wa mataifa kama kuna nchi hii inayo jiandaa kuazimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanzania bara.Nimejiuliza maswali mengi mojawapo kwanini nchi inakataa kuwa member wa UN kwa mda wote huu tangia ijipatie uhuru wake?
Kwa kufatilia zaidi ikanibidi ni ingie Google lakini huko pia sikupata web address ata home page ya hii nchi ya Tanzania Bara.
Nimekuja shangaa kuona kwamba Tanzania Bara inatambulia na FIFA lakini UN haitambui duh hapo ni kawaza tena.Kurudi tena Google nikitaka kuangalia nchi ya Zanzibar wakanipa kila kitu yaani home page imejaa taharifa zote za Zanzibar mfano muundo wa serikali,ramani,wizara etc.
Je Tanzania Bara ni nchi au siyo nchi na iko bara gani kwani hamna taarifa zinazoionesha kama hili taifa lina ishi hapa Duniani.Mwenye kujua anishulishe kwa njia zozote zile.
Kwa kufatilia zaidi ikanibidi ni ingie Google lakini huko pia sikupata web address ata home page ya hii nchi ya Tanzania Bara.
Nimekuja shangaa kuona kwamba Tanzania Bara inatambulia na FIFA lakini UN haitambui duh hapo ni kawaza tena.Kurudi tena Google nikitaka kuangalia nchi ya Zanzibar wakanipa kila kitu yaani home page imejaa taharifa zote za Zanzibar mfano muundo wa serikali,ramani,wizara etc.
Je Tanzania Bara ni nchi au siyo nchi na iko bara gani kwani hamna taarifa zinazoionesha kama hili taifa lina ishi hapa Duniani.Mwenye kujua anishulishe kwa njia zozote zile.