Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Tangu vita dhidi ya Ufisadi ianze hapa Afrika mashariki, sijasikia mwanamke yeyote aliyetajwa kuwa FISADI.
Hii inanifanya nifikiri kuwa huenda wanawake ni watu waaminifu sana wakipewa uongozi wa juu katika nchi.
Labda wanawake ni waaminifu sana kutunza dhamana ya madaraka wanayokabidhiwa.
Au mnasemaje wanajamii?
Hii inanifanya nifikiri kuwa huenda wanawake ni watu waaminifu sana wakipewa uongozi wa juu katika nchi.
Labda wanawake ni waaminifu sana kutunza dhamana ya madaraka wanayokabidhiwa.
Au mnasemaje wanajamii?