Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Nadhani hili halifahamiki vizuri kati ya watu wanaojiita wapenzi pasipo namalengo ya mbeleni ambayo ni dhabiti.
Kumekuwa na maoni tofauti tofauti kati ya vijana na watu wa rika tofauti juu ya mahusiano,huku kila mmoja akiwa na msimamo wake anao uabudu na kuutukuza,wapo wazee wa kuhiti na kurani (hit and run), wapo wa one night stand, na kila aina ya tabia kama hizo.
Ila mwisho wasiku tujiulize swali je?kuna mtu ambaye anamwandalia mwenzake mke/mume wa kuja kuoelewa/kuoa? Nafikiri hili halipo na halitakuja tokea.
My take:Ni vema ukajiandalia mke au mume wa kuoa au kuolewa nae!
Kumekuwa na maoni tofauti tofauti kati ya vijana na watu wa rika tofauti juu ya mahusiano,huku kila mmoja akiwa na msimamo wake anao uabudu na kuutukuza,wapo wazee wa kuhiti na kurani (hit and run), wapo wa one night stand, na kila aina ya tabia kama hizo.
Ila mwisho wasiku tujiulize swali je?kuna mtu ambaye anamwandalia mwenzake mke/mume wa kuja kuoelewa/kuoa? Nafikiri hili halipo na halitakuja tokea.
My take:Ni vema ukajiandalia mke au mume wa kuoa au kuolewa nae!