Hakuna mtihani wa Kidato cha pili mwaka huu?

rwenge

Member
Aug 15, 2014
44
22
Je sijui ni mwendelezo wa BRN kwa kawaida mtihani wa kidato cha pili ulikuwa ukifanyika mwezi wa kumi na moja lakini kuanzia mwaka Jana 2013 umeamishiwa mwezi wa kumi na ndio utaratibu mpya

Cha ajabu mpaka muda huu kuna sintofaham kwa wazaz, walimu na wanafunzu juu ya uwepo wa mtihani huo.

Kwani hadi muda huu hakuna ratiba ya mtihani huo na haijulikani mwaka huu utafanyika lini au labda haupo maana si walimu wala wanafunzi hata wazazi wanajua nini hatma ya mtihani huo ni bora baraza la mitihani liwaweke wazi wanafunzi,wazaz na walimu juu ya uwepo au kutokuwepo kwa mtihani huu muhim katika ngazi ya sekondari.
 
kwani mtihani unatugwa na necta au kanda husika ukipata jibu njoo tena acha kurupuka mtihani wa form tu necta hauwahusu ukitaka amini pitia carender ya necta ukiuona njoo tena hapa
 
mtihani wa kidato cha pili ulikuwa unasimamiwa na kanda husika, ila kwa sasa utakuwa chini ya TAMISEMI na utafanyika baada ya mitihani ya kidato cha nne
 
mtihani wa kidato cha pili ulikuwa unasimamiwa na kanda husika, ila kwa sasa utakuwa chini ya TAMISEMI na utafanyika baada ya mitihani ya kidato cha nne
Jamani mmeshajua mtihani unaanza tarehe ngapi?
 
Back
Top Bottom