Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Ndugu wana JF.
Nimefurahishwa na mazungumzo yaliyoongozwa na Mtangazaji aliyewauwa CCM wakati wa Mchakato majimboni maarufu kama SHABAN KISSU (KIWEMBE) katika kipindi cha LULU ZA KISWAHILI. Ambapo Diwani wa Morogoro Nd. ROBERT SELASELA alisema hakuna sababu ya kuandika kiingereza kwenye mikutano ya Halmashauri na wala hakuna sababu ya kupoteza fedha kwa ajili ya kuandika katika ya Kiswahili na Kiingereza kwani HAKUNA MTANZANIA ANAYELALA NA KUOTA NDOTO KWA KIINGEREZA.............
Nimefurahishwa na mazungumzo yaliyoongozwa na Mtangazaji aliyewauwa CCM wakati wa Mchakato majimboni maarufu kama SHABAN KISSU (KIWEMBE) katika kipindi cha LULU ZA KISWAHILI. Ambapo Diwani wa Morogoro Nd. ROBERT SELASELA alisema hakuna sababu ya kuandika kiingereza kwenye mikutano ya Halmashauri na wala hakuna sababu ya kupoteza fedha kwa ajili ya kuandika katika ya Kiswahili na Kiingereza kwani HAKUNA MTANZANIA ANAYELALA NA KUOTA NDOTO KWA KIINGEREZA.............