Hakuna Mtanganyika (mtanzania bara) Anayemiliki Ardhi/Nyumba Zanzibar

Unajuwa ndugu yangu, haya mambo yanajadiliwa humu kwa chuki na ushabiki lakini sio kweli kuwa hakuna Watanganyika wenye kumiliki ardhi kwa maana ya sheria ilivyo. Kuna wanaomiliki vishamba vidogo, kuna wanaomiliki nyumba za kukaa na kuna wale ambao wametowa mfano mbaya na kuifanya jamii ya Kizanzibari kuwa waangalifu katika kuwapa sehemu za kuendesha shughuli.
Ndugu yangu unaposikia kuwa Baa fulani au gesti fulani imechomwa basi juwa kuwa hiyo ni miliki ya Mtanganyika. Na hii huwa inajibu suwala lako la pili. Ni kuwa wengi hutaka kuanzisha mabaa na magesti jambo ambalo jamii haikubaliani nalo. Kwa vile hakuna sheria ya kumkataza Mtanganyika kumiliki sehemu basi ndio maana wananchi hujichukulia sheria mikononi mwao na wanakuwa makini sana kujiepusha na hadaa za Watanganyika kutaka kununua sehemu kwa ajili ya kilimo au makazi na siku inayofuata utaona kitu ambacho wewe muuzaji unakuwa answerable kwa wanajamii wenzako.

sijashawishika kuamini kuwa hao wanaochomewa huwa ni wamiliki wa ardhi. Lakini nimependa namna ulivyojibu.
Umejibu vyema, kwa utulivu na busara.
 
Ali Hassan Mwinyi kwao Mkuranga, Unguja alikuja kusoma Quran tu na hakutoka tena. Yeye na wenzake kibao.
.kwahiyo sio kweli kama watanganyika hawamiliki ardhi znz unaposema Mwinyi kwao ni mkuranga basi hiyo sheria haipo au haifanyi kazi maana mwinyi anamiliki majumba na ardhi isitoshe amemiliki hata ikulu ya znz yaani urais wa znz na sio yeye tuu ukiangalia marais wote wa znz ukimtoa mzee Idrisa Abdul wakil walio baki wote ni watanganyika mze Junbe mzee salmini na mzee karume ni Myasa sina uhakika wa malawi au wtz na Aman ndio mzaliwa znz sasa wtanganyika wamemiliki mpaka Ikulu ya znz vp wasimiliki ardhi kama sio uwongo na hata mwakanjuki kwao mbeya alimiki wizara vp asimiliki ardhi acheni choko choko au munatamai kuona damu za wtz mumechoka kuokota condom chakavu wakati wa sherehe kama vile za mwenge na mabonanza munatamani kuokota maiti za watt na kina mama. Kuweni makini jifunzeni kwa nchi zilizo athirika na chokocho.
 
Ukitaka kujua Watanganyika wanamiliki nyumba angalia na wingi wa baa zinazoendelea kufunguliwa kila siku kukicha na zote ni za Watanganyika halali kabisa ziko mitaani kila kona, tunakaribia kuwa kama bara kila baada ya nyumba3 baa.
 
Wana msemo wao wazenji kuwa chetu chetu chao chetu...hahahaa
Hiyo kauli inathibitisha kuwa waznzb hawakuutaka muungano hata huyo alie unganisha znz na tanganyika hakuuopenda aliteleza tuu ktk maamuzi.ndio maana wznzb hawakuiyua znz yao kama sisi wtanganyika tulivyo iyua tanganyika yetu
 
Zanzibar nina uchungu nayo sana. Nimedhulumiwa Kiwanja Changu 25x30 na nilinunua Fuoni karibu na Petrol steshen baada ya kituo cha police fuoni, Hati mpaka Halmashauri nilipata na Diwani kaweka Sahihi yake ( Diwani alikuwa Matogo) Kile kiwanja nimegeukwa mpaka na Diwani mwenyewe. Kisa mi Mkristo na Mbongo siwezi jenga eneo lile. Nilizunguka kutafuta haki nikakosa. Kwa sasa nimempa mtu wangu wa karibu sana hapa znz Bure kabisa. Msingi mpaka leo upo pale. Halikuwa lengo langu kutokuwa na Ardhi lakini wenyewe ndiyo hivyo tena. Nipo huku na Sina investment yeyote.
NB: Wapo watanganyika wenye ardhi huku na wamejenga na wanaishi labda si kwa amani sana kutokana na hisia za uasili na dini.
Ila wapo
 
NDUGU ZANGU NANDIKA KWA HERUFI KUBWA KUONESHA MSISITIZO WALA MSIJICHUMIE DHAMBI ZA BURE MIMI NI MKAZI WA ZANZIBAR NA NI MTANGANYIKA LAKINI NAMILIKI NYUMBA JAMANI NA SISI MIMI MBONA WENGI WANANYUMBA HUKU HILO JAMBO SI KWELI........ILa cha kujiuliza cha muhimu KWANINI ZANZIBAR KATIKA SWALA LA KAZI WANAWAWEKA MBELE WAZAWA MTU KUTOKA BARA NI ISHU KUPATA HADI UWE NA KITAMBULISHO CHA UZANZIBAR MKAZI? KWANN WAKIJA HUKO WAKO HURU KULIKO SISI KUWA HUKU?
HIKI KITU NDIO CHA MSINGI KUJIULIZA KWANINI SISI HATUWAPI VIPINGAMIZI WANAOISHI NA KUJENGA HUKO KWA AMANI BILA KUBAGULIWA LAKINI HUKU SISI WANATUBAGUA????????????????????????????????????????????????????/


Je wamejiuliza wabongo wanaroho gani hadi hawawabagui? kwanini hata zinapotokea vurugu basi Mali zinazoharibiwa ni za wabongo?
 
mi pengine naweza kukusaidia kwa kiasi ninachofahamu.
Kuna tatizo kubwa linalohusu masuala ya imani ya kidini. Imekuwa proved kabisa kuwa almost all time watu wanaotokea tanzanbia bara wanapofika Zanzibar kutaka kununua sehemu ya ardhi au nyumba basi wanakuwa na agenda ambazo hawaziweki wazi wakati wa manunuzi. Nadhani asilimia zaidi ya 90% wanakuwa na malengo ya kutaka kueneza ukiristo kwa wenyeji wa zanzibar. Jambo hili linakuwa halikubaliki kwa wenyeji kwasbb ya kutokubali kuingiliwa katika imani yao ya uislam kama vile ambavyo wakiristo wa bara hawapendi kuingiliwa katika imani zao kikristo.

Kuna ushahidi mwingi unaonesha kuwa kulitokea mauziano ya ardhi na nyumba za kuishi katika maeneo mbalimbali ya visiwa vya unguja na pemba kati ya waznz na watanzania bara, lkn kwa bahati mbaya watu hao wa bara walonunua sehemu hizo badala ya kufanya sehemu za kuishi walijenga makanisa. Na baya zaidi ni kuwa wanajaribu kwa kutumia hila na mbinu mbali mbali kuwaingiza watoto wa kiislam katika ukristo kwa nguvu bila ya kufikiria kuwa watoto wale wana imani yao ya kiislam, kesi hizi ni nyingi na hata katika kijiji chetu zimetokea. Hili ni tatizo ambalo haliwezi kuvumiliwa hata kwa sekunde moja.

pia, mbali ya kujenga makanisa , huamua kujenga vilabu vya pombe ambavyo kwa kiasi kikubwa huchangia katika kuharibu mila, desturi na silka za wazanzibari ambazo kimsingi zinafuata uislam. kwa hiyo basi kwa sbb jambo hili ni kero kwa wazanzibari, jibu lake ni kuwakatalia kuwapa ardhi watanganyika ili kunusuru imani zetu na utamaduni wetu wa kiislam.

Wazanzibari waliopo tanganyika wanapewa ardhi kwa sbb wapo huko kibiashara au kikazi zaidi badala ya kutafuta migogoro na wenyeji wao. wapo huko kukuimarishieni uchumi wenu na ndo maana hamna mashaka nao. Kama na nyinyi mtabadilika kwa kuacha kulazimisha wazanzibari kuwa wakiristo, basi bila ya shaka wazanzibari ni watu wazuri wasiokuwa na punje ya ubaguzi.
 
Mimi sio mshabiki kabisa wa huu muungano, wanzanzibar muda mrefu hawana muda na watanzania bara.kwa muda mrefu wamenufaika na rasilimali zetu kama ardhi, umeme n..k nataka turudishiwe TANGANYIKA yetu kuna baraka nyingi sana kwenye hii lango la tanganyika
 
Mtoa hoja kasema "Mtu"
Nd.wana jf. Nasikia ati ni marufuku kwa mtu kutoka bara (tanganyika) kumiliki aridhi,nyumba au jengo huko Zanzibar. Je ni kweli?

Wewe unataja "taasisi"
Huu ni uongo uliokithiri na kushtadi.

Mfano mzuri ni maeneo ya Chake-Chake, Kusini, Pemba ambako Kanisa la Roman Catholic wanamiliki kiwanja na wamejenga kindergarten

Hapa hapa Chake-Chake, Kanisa la SDA wanamiliki kiwanja na wamejenga hospitali.

Unguja, maeneo ya Cheju, Kanisa la Roman Catholic wanajenga high school.

Lakini kubwa ni kwamba karibu mtaondoka, viwanja vya nini?

Nyie huku mje mlime tu mpaka "muungano" utakapo kata roho.

Hivi na Zanzibar kuna shule za kata? Maana elimu inayotolewa huko inawezekana ikawa chini ya ile shule yenye mwalimu mmoja huku bara! Mkamiati huna jibu na unaendelea kuonyesha dharau na ubaguzi wa dhahili kwetu wabara. Unasema hayo kwa sababu ya Muungano uchwara, vinginevyo usingethubutu!
 
Ukitaka kujua Watanganyika wanamiliki nyumba angalia na wingi wa baa zinazoendelea kufunguliwa kila siku kukicha na zote ni za Watanganyika halali kabisa ziko mitaani kila kona, tunakaribia kuwa kama bara kila baada ya nyumba3 baa.

Kumiliki baa haina maana wana miliki nyumba, yaweza kuwa ni wapangaji tu. Pia kama bar nyingi zinafunguliwa basi na wateja (soko) wapo, kama makanisa yanafunguliwa basi waumini wapo! Wazanzibar wana katazaje bar na makanisa wakati ushoga na uvutaji unga ndo umepiga kambi huko?
 
'The man shall rise from the hills and save the people at their hour of need'.

Kukiwa na mgombea Urais atakayesema atavunja Muungano kura yangu anayo hata kama ni Fisadi kama EL, nitamchagua tu kuondoa hii kero ya miaka mingi. Ee Mwenyezi Mungu inua kiongozi thabiti atakayefanya maamuzi magumu ambayo wengine wameshindwa.
Kamuungano kadogo haka kanawatoa mapovu, je mtangamno EAC mnaoutaka mtauweza?
 
Naamini siku nchi ikishikwa na Cdm muungano tutauzika ndani ya Wiki mbili. HAUTUFAI unalimbikiza chuki. Halafu huu muungano ni chanzo kikuu cha vurugu za Kidini. Let em be em...! Kwa nini tunang'ang'ania?????? Aaaarrgh
 
sijashawishika kuamini kuwa hao wanaochomewa huwa ni wamiliki wa ardhi. Lakini nimependa namna ulivyojibu.
Umejibu vyema, kwa utulivu na busara.

Sheria ya Zanzibar ardhi inamilikiwa na serikali bali mwananchi anaruhusiwa kuitumia kwa shughuli maalum kama kilimo au kuishi. Wanachodai wenzetu ni huko kunyimwa kuitumia kwa shughuli zao na sababu ni hizo nilizozieleza!
 
Back
Top Bottom