zipo slow sababu hata edge simu za kichina hazina zina gprs ambayo speed maximum ni 5kBps
ha ha ha vuta picha ndo unadownload file la gb kadhaa 4 that speed! Mbona kilio.,...
Ila sishangai phone memory za kichina wakuta kb 300 so ukigawanya kwa 5 hapo kama mara 30 hivi so ndani ya sekunde 30 umejaza phone memory
Ila sishangai phone memory za kichina wakuta kb 300 so ukigawanya kwa 5 hapo kama mara 30 hivi so ndani ya sekunde 30 umejaza phone memory