nd. Kibai. Tatizo kubwa la social security zetu ni LOW INTEREST RATES. Haiwezekani nikatwe 1,000 leo halafu nipewe 1,001 baada ya miaka 30. Ndio maana watu wanataka wapewe chao. Vinginevyo viwango vikaribiane na COMMERCIAL & COMPOUNDED RATES. Kwa mfumo wa sasa mfanyakazi anapoteza kwa 'kuwekewa' akiba. Na hapo ndipo mrija ulipo.
kaka it depends na mfuko..huku pspf na lapf ndo kuna formular nzuri kuliko nssf...mtu aliyekuwa amefanya kazi kwa miaka 30 atalipwa michango yake tu na hiyo minor interest akiwa nssf...ila under pspf/lapf kuna kitu huwa kinaitwa time value of money huwa kinazingatiwa wakati wa kukotoa mafao...shilingi 1000 ya mwaka juzi sio ya mwaka huu....tumuulize huyo jamaa hapo juu aliesema kapata hundi ya kustaafu ya nssf ijumaa kapata kiasi gani,na kafanya kwa muda gani na alistaafu kwa mshahara gani then nikokotoe nikwambie ilikuwa apate kiasi gani kama angekuwepo huku pspf/lapf...