MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Salam, nikaribisheni jamani hapa kwenu..mie sie mtaalam,
Naanza na hii...wewe ni bosi na wafanyakazi wanakugaya sana, siku moja umeenda haja na baada ya kumaliza wataka kuflashi bahati mbaya hamna maji na kona zote maji yamekatika,ubaya kuna mfanyakazi naye anagonga anataka aingie maliwato...mzigo upo juu...ungefanya uamuzi gani?
Badae....
Naanza na hii...wewe ni bosi na wafanyakazi wanakugaya sana, siku moja umeenda haja na baada ya kumaliza wataka kuflashi bahati mbaya hamna maji na kona zote maji yamekatika,ubaya kuna mfanyakazi naye anagonga anataka aingie maliwato...mzigo upo juu...ungefanya uamuzi gani?
Badae....