Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,893
- 21,979
Kama kuna laana kubwa watanzania itaendelea kuwasakama mpaka mwisho na hakuna matatizo yatakayowaisha hata aje kuhutubia papa Benedicto ni laana ya kuichagua CCM madarakani.
Najua wapo wasioamini lakini ukweli halisi ni huo kwamba haya matatizo yote mnayoendelea kupiga kelele mara unyanyasaji,ufisadi,albino ni kutokana na laana za ya kuichagua CCM.
Kama kweli unataka kuondoa laana ya mkosi kwenye familia yako usichague kabisa CCM vinginevyo ndoa zenu zitaota mbawa bila kujua chanzo nini nini kumbe jibu unalo.
Najua wapo wasioamini lakini ukweli halisi ni huo kwamba haya matatizo yote mnayoendelea kupiga kelele mara unyanyasaji,ufisadi,albino ni kutokana na laana za ya kuichagua CCM.
Kama kweli unataka kuondoa laana ya mkosi kwenye familia yako usichague kabisa CCM vinginevyo ndoa zenu zitaota mbawa bila kujua chanzo nini nini kumbe jibu unalo.