jane_000
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 547
- 43
nyinyi ma baba zangu na makaka zangu hakuna mgonjwa dunian anaeumwa maradhi ya nguvu za kiume now niukosefu wa connection kati yenu wawili mzee anaweza kwenda rounds 5 nakuendela na kijana hata rounds 10 lakini love must be there lasihivyo kama huna upendo na huyo mwezako basi hata nusu round ufiki hakuna dr wala masai na wala dawa yoyote trust me nenda kwamtu wako leo jipange vizuri na omba mzigo kama hutu cheza mpira mpaka kipindi chamwisho hata babu waumri miaka 90 kama wanapenda basi babu atacheza mpira vizuri wacheni mambo ya dawa nyote wapenzi wangu mananguvu Tatizo lenu hamna mapenzi ya kweli
Nawasilisha
rounds
Nawasilisha
rounds