KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Najaribu kuangalia TBC kwa jicho la tatu naona TBC nikama chombo kisichokuwa na vision wala mision bali nikurusha vipindi visivyokuwa natija kwa watanzania!
Naudhika nakipindi cha Benki Kuu na magavana wake!!Panapo nikwaza ni huyu Beno kuongea as if tuna uchumi mzuri!!na wananichefua wanapo mtaja balali!naukizingatia wapo wanaposema yupo!huku serikali ikisema kafa je hakija kuonekana hivi vipindi watavifanyeje wakati watu wanavirekodi??
Naudhika nakipindi cha Benki Kuu na magavana wake!!Panapo nikwaza ni huyu Beno kuongea as if tuna uchumi mzuri!!na wananichefua wanapo mtaja balali!naukizingatia wapo wanaposema yupo!huku serikali ikisema kafa je hakija kuonekana hivi vipindi watavifanyeje wakati watu wanavirekodi??