...,ha ha ha, miaka ile ya 47 tulikuwa tunaimba ♫ ♫ baaaba huyooo, baaaba huyoo...katoka kazini! ♫♫ sijui kizazi kipya watamuimbiaje baba huyu! Anaelekea anajua kulisakata rhumba, nice foto!
Mzee yuko kazini; yumo katika orodha ya watu waliotengenezewa ajira awamu hii yaani ni mmoja kati ya zile milloni zilizoainishwa kwenye ilani ya chama tawala!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.