Megawatt B
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 259
- 69
Ndugu zangu, wengi wetu tupo macho wazi kusubiri ni mabadiliko gani yatafanywa na mkulu, nawahakikishia hakuna jipya tusubiri mwaka 2015 panapo majaliwa. Watu makini hawapewi nafasi kwa kuwa hawapo bungeni na hata kama wapo bungeni si watu wakujipendekeza hivyo hawawezi kufikiriwa, mambo ni yaleyale. Mtu akichukuliwa msukule harudi, hata akionekana tena hujue ni zezeta huyo!