Hakuna Haja Ya Kulitengea Shirika La habari Tanzania (TBC) Bajeti Kubwa!!

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,680
22,685
Habari wana JamiiForums,.

Nimemsikia Waziri wa habari na utamaduni akilalamikia Serikali imtengee bajeti ya kutosha kwa wizara yake.

Ubora wa matangazo yake ni wa hali ya chini mno kwani saa nyingine picha hazionekani, sauti hakuna, yaani ni vurugu tupu.

Mambo yanayohusu Upinzani na yenye tija kwa Jamii hawarushi hewani wananchi wapate kuona.

Kimsingi sioni manufaa ya hili Shirila la Utangazaji kwa taifa hili maana mbali na kuendeshwa kwa kodi zetu sisi wananchi wenye itikadi tofauti tofauti bado linaelemea upande mmoja wa Serikali ya CCM,.
 
Halipashwi kupewa fedha ila linatakiwa lijiendeshe lenyewe, kama vyombo vya utangazaji vinavyo milikiwa na watu binafsi vina jiendesha na bado mmiliki anapata faida iweje lenyewe lipewe fedha na Serikali? Hizi ni njama za kuendeleza ufisadi ambao sasa limekuwa jambo la kawaida kwa serikali ya Chukua Chako Mapema.
 
bajeti wanaongeza ili iweje? TBC watu hawaitazami kabisa hususani mijini.ni TV ya kishamba na watangazaji wake nao washamba wa kutupwa,hawana jipya hawana ujuzi hata wa kuandaa vipindi.vipindi vyao vya kizamani sana.mambo yote ni ITV,STAR TV na CHANNEL TEN.hii ni TV ya wazee.
 
Yaani mimi binafsi nikisikia neno tbc huwa nakosa raha kabisa sijui ni kwanini!
 
Kulibinafsisha tbc,ni ngumu sana kwani wafanyakazi wake,ni mizigo.ila wajue siku upinzani ukichukua nchi wote watamwagwa ziwa nyasa waliwe na mamba
 
Habari wana JamiiForums,.

Nimemsikia Waziri wa habari na utamaduni akilalamikia Serikali imtengee bajeti ya kutosha kwa wizara yake.

Ubora wa matangazo yake ni wa hali ya chini mno kwani saa nyingine picha hazionekani, sauti hakuna, yaani ni vurugu tupu.

Mambo yanayohusu Upinzani na yenye tija kwa Jamii hawarushi hewani wananchi wapate kuona.

Kimsingi sioni manufaa ya hili Shirila la Utangazaji kwa taifa hili maana mbali na kuendeshwa kwa kodi zetu sisi wananchi wenye itikadi tofauti tofauti bado linaelemea upande mmoja wa Serikali ya CCM,.

Mbona leo mnalalamika kuwa lionyeshe bunge live,wakati hamtaki litengewe bajeti ya kutosha?
 
Habari wana JamiiForums,.

Nimemsikia Waziri wa habari na utamaduni akilalamikia Serikali imtengee bajeti ya kutosha kwa wizara yake.

Ubora wa matangazo yake ni wa hali ya chini mno kwani saa nyingine picha hazionekani, sauti hakuna, yaani ni vurugu tupu.

Mambo yanayohusu Upinzani na yenye tija kwa Jamii hawarushi hewani wananchi wapate kuona.

Kimsingi sioni manufaa ya hili Shirila la Utangazaji kwa taifa hili maana mbali na kuendeshwa kwa kodi zetu sisi wananchi wenye itikadi tofauti tofauti bado linaelemea upande mmoja wa Serikali ya CCM,.
Hii TBC ni jipu linalosubiriwa kuiva
Natamani mno irudi RTD ilikuwa na maono na heshima mbele ya jamii
 
Back
Top Bottom