Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
[h=1]Wasomi wa Tanganyika wasema katiba ya Muungano isi jadili Muungano jee wasomi wa Zbar muna semaa jee?[/h]Written by amini // 19/10/2011 // Habari // No comments
KILIMACHO NA CHANGA LA MOCHO KWA ZNZ
[caption id="attachment_33367" align="alignnone" width="197" caption="KILIMACHO"] [/caption] jee kuna tafauti kani ya nembo hizi kabla ya Tanganyika kungana na Zanzibar? tumo ktk tumbo bado la Tanganyika ijitayo Tanzania.
Kiupande wangu Kwa vile ni Mzanzibar nashindwa kuwafahamu hawa wenzetu wa Tanganyika wanaojita wasomi walio bobea na kutuona sisi Wazanzibar Mburumatari na tumezowea kuburuzwa na kuwekwa kizani bila kujuwa haki zetu.
Ndugu zangu Wzanzibar ikiwa katiba mpya isijadili maswala ya Muungano wa Zanzibar na Tanganyika ambao hakuna isio juwa kuwa kuna kasoro nyingi ambazo zimeifanya Zanzibar kuwa zaifu na kuizofisha kutokana na katiba ya sasa kulalia upande moja.
Sasa ikiwa tunaikewa pingamizi kuwa katiba mpya isijadili mambo ya Muungano? sasa tuiulize serekali yetu ya smz (SUk) kuna kipi cha kujadili sisi Wzanzibar ktk katiba ya Muungano wakati sisi tuna katiba yetu ya ndani Zanzibar?.
Kama wasemavyo wasomi wa ki-Tanganyika tusijadili Muungano jee?, jee kuna haja gani ya kukaa pande mbili za Muungano kujadili katiba ya Muungano.
Kama tusijadili Muungano kipi chakukijadili Waziri wa Muungano Bi Samia Suluhu sibora arudi nyumbani?.
Mimi nahisi huu ni mtego wakutaka kutufanya Wtanganyika kuwa Wzanzibar mazumburukuku na wapitishe agenda zao za kuendeleza ukoloni mambo leo.
Kwanza ktk katiba mpya nilazima Tanganyika izaliwe upya ili kuondosha utata a.) b. suala la Zanzibar kuambiwa kuwa ni nchi ndani ya Tanzania hii ni mtoto wa kuku kudai maziwa kunyoyo huni udanganyifu wakufanywa blind.
Hawa wenzetu nimajambazi na wenye kuizofisha Zanzibar kukuwa kiuchumi na kimataifa, hujifanya wao kuwa ni werevu kwa faida zao.
Ndugu zangu Wzanzibar nimisada mingapi hupewa Tanzania lakini ikamalizikia Tanganyika bila kuramba shilingi Serekali ya Zanzibar?.
Mimi nahisi viongozi wetu wa smz nilazima wasifumbie macho ujambazi huu wa kujifanya kuikataa Tanganyika kumbe huetumilia Tanzania kwa faida zao na kuji-paplish ulimwenguni kuwa Tanzania ni moja na hata uhuru wa 9dec 1963 umekuwa ni uhuru wa Tanzania sio tena Tanganyika hatari hii.
Hawa wanajifanya werevu wa mambo na kutuziba macho wazanzibar ili kuifuta kimpinu power ya Zanzibar ki-international.
lakini namalizia kusema asari nyingi za Zanzibar husababishwa na viongozi wetu Zaifu wasio wazalendo wa taifa lao la Zanzibar na watu wake nikujilimbikizia mamali na kujiegemeza kwenye chama huku wakiuwa utaifa wao asili.
Mimi namini bila ya Muungano Zanzibar tungepiga hatuwa kubwa ktk mambo yetu ya nchi na International tungeweza kuji prude.
Kwani hivi sasa Wzanzibar hatuheshimiki kutokana na kuungana na hawa majambazi wasiokuwa, leo tukiashia heshima na utamaduni wa Mzanzibar kusifiwa nje na ndani ya nchi imekuwa sote tunaonekana majambazi tu na tusiwo wastarabu, hii imeshangiwa sana na viongozi wetu hususani wenye damu za kizengereko(kitanganyika) kutulisha matapishi na smz/ccm kukumbadia chama kwa njaa zao wasizo ziweza.
Mungu ibariki Zanzibar na kizazi cha wzanzibar.
KILIMACHO NA CHANGA LA MOCHO KWA ZNZ
[caption id="attachment_33367" align="alignnone" width="197" caption="KILIMACHO"] [/caption] jee kuna tafauti kani ya nembo hizi kabla ya Tanganyika kungana na Zanzibar? tumo ktk tumbo bado la Tanganyika ijitayo Tanzania.
Kiupande wangu Kwa vile ni Mzanzibar nashindwa kuwafahamu hawa wenzetu wa Tanganyika wanaojita wasomi walio bobea na kutuona sisi Wazanzibar Mburumatari na tumezowea kuburuzwa na kuwekwa kizani bila kujuwa haki zetu.
Ndugu zangu Wzanzibar ikiwa katiba mpya isijadili maswala ya Muungano wa Zanzibar na Tanganyika ambao hakuna isio juwa kuwa kuna kasoro nyingi ambazo zimeifanya Zanzibar kuwa zaifu na kuizofisha kutokana na katiba ya sasa kulalia upande moja.
Sasa ikiwa tunaikewa pingamizi kuwa katiba mpya isijadili mambo ya Muungano? sasa tuiulize serekali yetu ya smz (SUk) kuna kipi cha kujadili sisi Wzanzibar ktk katiba ya Muungano wakati sisi tuna katiba yetu ya ndani Zanzibar?.
Kama wasemavyo wasomi wa ki-Tanganyika tusijadili Muungano jee?, jee kuna haja gani ya kukaa pande mbili za Muungano kujadili katiba ya Muungano.
Kama tusijadili Muungano kipi chakukijadili Waziri wa Muungano Bi Samia Suluhu sibora arudi nyumbani?.
Mimi nahisi huu ni mtego wakutaka kutufanya Wtanganyika kuwa Wzanzibar mazumburukuku na wapitishe agenda zao za kuendeleza ukoloni mambo leo.
Kwanza ktk katiba mpya nilazima Tanganyika izaliwe upya ili kuondosha utata a.) b. suala la Zanzibar kuambiwa kuwa ni nchi ndani ya Tanzania hii ni mtoto wa kuku kudai maziwa kunyoyo huni udanganyifu wakufanywa blind.
Hawa wenzetu nimajambazi na wenye kuizofisha Zanzibar kukuwa kiuchumi na kimataifa, hujifanya wao kuwa ni werevu kwa faida zao.
Ndugu zangu Wzanzibar nimisada mingapi hupewa Tanzania lakini ikamalizikia Tanganyika bila kuramba shilingi Serekali ya Zanzibar?.
Mimi nahisi viongozi wetu wa smz nilazima wasifumbie macho ujambazi huu wa kujifanya kuikataa Tanganyika kumbe huetumilia Tanzania kwa faida zao na kuji-paplish ulimwenguni kuwa Tanzania ni moja na hata uhuru wa 9dec 1963 umekuwa ni uhuru wa Tanzania sio tena Tanganyika hatari hii.
Hawa wanajifanya werevu wa mambo na kutuziba macho wazanzibar ili kuifuta kimpinu power ya Zanzibar ki-international.
lakini namalizia kusema asari nyingi za Zanzibar husababishwa na viongozi wetu Zaifu wasio wazalendo wa taifa lao la Zanzibar na watu wake nikujilimbikizia mamali na kujiegemeza kwenye chama huku wakiuwa utaifa wao asili.
Mimi namini bila ya Muungano Zanzibar tungepiga hatuwa kubwa ktk mambo yetu ya nchi na International tungeweza kuji prude.
Kwani hivi sasa Wzanzibar hatuheshimiki kutokana na kuungana na hawa majambazi wasiokuwa, leo tukiashia heshima na utamaduni wa Mzanzibar kusifiwa nje na ndani ya nchi imekuwa sote tunaonekana majambazi tu na tusiwo wastarabu, hii imeshangiwa sana na viongozi wetu hususani wenye damu za kizengereko(kitanganyika) kutulisha matapishi na smz/ccm kukumbadia chama kwa njaa zao wasizo ziweza.
Mungu ibariki Zanzibar na kizazi cha wzanzibar.