hao jamaa wenye hizo picha si watumwagie hapa ili tuwaumbue mafisi-adi?Kuna kitu ambacho Sitta hakijui, wengine wanakijua ama vinginevyo amemua kusalimu amri, watu wanajua kuwa kuna mtu aliingia bungeni ila haikuwa usiku, ilikuwa mchana na alizunguka zunguka humo ndani akiwa na mtumishi wa Bunge, na alizungukia hadi kiti cha Spika na picha zipo zimetiwa kibindoni.
Kwa hakika huu ni usanii mwingine, ulizeni waliokuwa kwenye kikao cha wabunge wa CCM ama kikao fulani hivi. Kwa uzembe tunaambiwa hata Kamera za ulinzi zilikuwa ziii, kuna watu walirekodi wakitaraji kupiga dili.
Wale watu mle ndani walikaa muda mrefu sana kulingana na kanda hizo. hapa kuna something, na hata mtumishi wa Bunge aliyehusika analindwa maana alichofanya inasemekana ni kinyume cha sheria.
Ohoo, hii Bongo land Bwana.
Sasa kivumbi kutimuka. This time ni zamu ya SIX maana jamaa wa Vijisenti aliahidi kumburuza mahakamani. Mmmh wote ni wanasheria, na kama serikali kupitia Polisi, Mkemia Mkuu na Usalama wa Fisadi wanaficha ukweli hapa ndo tutaona UTAMU wa Mlenda from Tabora na Mchele(wali) from Bariadi. Sisi yetu macho kuangalia mafahali 2 wakitoana ngeo. JK this time una kazi kuhakikisha amani haivunjwi maana naanza kunusa harufu ya Mafisadi ku-face hasira za waziwazi kutoka kwa wananchi. Na unatambua wakichukia basi chochote kitakachokuwa mbele yao ni halali yao. Kaa chonjo bro maana naanza kuona zile style za Sungusungu, fimbo na mtu. Na tusipoangalia hata silaha za jadi zaweza tumika vilevile dhidi ya FISADIZ maana hawana fimbo za moto mlizonazo. Jaribu kuwasaidia kuwa kuwafungia Segerea.
Nadhani we need to have a talk with Mkuu wa Polisi...
Hilo vumbi lilitokea wapi? Kamera hazikunasa hata jinsi vumbi lilivyoingia Bungeni?
Huyu Ac nimemuogopa sasa si mchezo anajua kucheza dala kweli kweli. Amefunga la maradona sasa.