Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
hakuna jambo baya kuliko kufanya utafiti huku ukiwa na majiabu yako mfukoni
mara nyingi matokeo yakija kinyume na matarajio yako utajaribu kulazimisha na ikiwezekana kucheza na data
sasa hapa kuna watu wana majibu yao na si mengine ila chenge ndie alieonekana na alikuwa akitia sumu au kuroga kinyume na hypothesises hizo ni uongo na changa la macho
mie kama mtu ambae nimebahatika alau kidogo kupata kupitia skuli na kukaa na waliosoma nnaamini kila utafiti hufanyika kwa kuzingatia requrements zake na data zilizopatikana sasa ripoti iko hivo tuaminiane ndio ukweli ulivyo tusonge mbele
mara nyingi matokeo yakija kinyume na matarajio yako utajaribu kulazimisha na ikiwezekana kucheza na data
sasa hapa kuna watu wana majibu yao na si mengine ila chenge ndie alieonekana na alikuwa akitia sumu au kuroga kinyume na hypothesises hizo ni uongo na changa la macho
mie kama mtu ambae nimebahatika alau kidogo kupata kupitia skuli na kukaa na waliosoma nnaamini kila utafiti hufanyika kwa kuzingatia requrements zake na data zilizopatikana sasa ripoti iko hivo tuaminiane ndio ukweli ulivyo tusonge mbele