Hakuna cha ip adress wala proxy kitu unlimited internet

jamani hizo ni line zilizoko nje ya system, ambazo ukiweka kwenye simu zinablokiwa papo hapo. mtaani kwetu zinauzwa sh.5o0 tu jero jero.
weye tukupe 30 elfu.?? kwa kipi kikubwa?
 
jamani hizo ni line zilizoko nje ya system, ambazo ukiweka kwenye simu zinablokiwa papo hapo. mtaani kwetu zinauzwa sh.5o0 tu jero jero.
weye tukupe 30 elfu.?? kwa kipi kikubwa?

Kweli Jf imevamiwa hadi matapeli!!...30,000 ya nini sasa wakati kitu umepata bure? nikitoa hiyo hela halafu Voda waifungie hiyo line siku hiyo hiyo si nitakutoa roho!! kumbe ndio maana unavutia watu uchochoroni...."eti nitafute"..nikutafute umekuwa nani wewe!! tapeli tu kama wengine..kula kona!!!
 
Kaa na hizo line zako sie twatumia proxy bure kabisa tamaa ya nini kawatapeli wenye tamaa. Big up eth2mia na wengine.
 
Kaa na hizo line zako sie twatumia proxy bure kabisa tamaa ya nini kawatapeli wenye tamaa. Big up eth2mia na wengine.

hatuna haraka sana, tunasubiri wakina e2themiza na kina chief mkwawa wamalizie tutorial..
 
tujuzen kuhusu proxy

Kaka next time jaribu kutumia option ya kusearch scroll mpaka juu utaiona then click itafunguka tab ya search then andika neno proxy then zitakuja result za thread zinazohusiana na proxy -kwa mobile

kwa pc nafkiri sio tabu ipo sehemu ya search juu
 
jamani naombeni maujanja ya proxy aisee..wanajamvi

Ndugu yangu zimo nyingi mno humu jamvini jaribu kusearch utaziona sie wenzio kila leo tunabadili tu kwenye Pc na mobile. Naipenda zaidi Cycle Brain (IP 66.135.50.150 port 80)
 
Ndugu yangu zimo nyingi mno humu jamvini jaribu kusearch utaziona sie wenzio kila leo tunabadili tu kwenye Pc na mobile. Naipenda zaidi Cycle Brain(IP 66.135.50.150 port 80)
Hiyo IP ni kth simu au pc? Na ungetuambia unaipendea nn hasa ukilinganisha na IP nyingine.
 
Ndugu yangu zimo nyingi mno humu jamvini jaribu kusearch utaziona sie wenzio kila leo tunabadili tu kwenye Pc na mobile. Naipenda zaidi Cycle Brain (IP 66.135.50.150 port 80)

nimejaribu ip ya cycle brain nimesurf kidogo naona network imekatika hata sijajua shida ni nini
 
nimejaribu ip ya cycle brain nimesurf kidogo naona network imekatika hata sijajua shida ni nini

Ukiona ina stuck jaribu kuexit na kuingia upya ila kama una browser zaidi ya moja kwenye PC au mobile phone jaribu kutumia IP ya ICanhasproxy nayo ni nzuri sana kwani inakubali javascript, vile vile kwenye facebook inakubali kuchat. Niliipata humu kwa Chief Mkwawa (176.31.222.35 port 80)
 
Ukiona ina stuck jaribu kuexit na kuingia upya ila kama una browser zaidi ya moja kwenye PC au mobile phone jaribu kutumia IP ya ICanhasproxy nayo ni nzuri sana kwani inakubali javascript, vile vile kwenye facebook inakubali kuchat. Niliipata humu kwa Chief Mkwawa (176.31.222.35 port 80)

mnatumia mtandao gani wakuu?
 
mnatumia mtandao gani wakuu?

mkuu apollo na wadau wengne,nimenunua modem ya voda nimeinstall lakin inakataa ku connect,kuna error message inasema connection failed with error 651,msaada please
 
Back
Top Bottom