Hakuna aliyepata zaidi ya LAKI 7..Maafa ya Mabomu Gongo La Mboto......Aibu kwa serikali..

mzee wa njaa

JF-Expert Member
Jun 16, 2011
1,366
223
Hakuna aliyepata zaidi ya LAKI 7..Maafa ya Mabomu Gongo La Mboto......Aibu kwa serikali..

Hivi tunaelekea wapi jamani? kwanini serikali yetu ni onevu kiasi hiki? Pesa za wahanga wa mabomu wanataka wazifanyie nini?

Yaani aliyepata kiasi kikubwa ni Tshs. 700,000/= tu wakati kuna nyumba zenye thamani ya zaidi ya ya tshs. milioni 20 kwa nyumba moja zimebomoka, najiuliza kwanini serikali yetu inatuongezea umasikini?

Nasema nimechoka.....dawa kujitoa mhanga ndio heshima itakuwepo.
 
Hakuna aliyepata zaidi ya LAKI 7..Maafa ya Mabomu Gongo La Mboto......Aibu kwa serikali..

Hivi tunaelekea wapi jamani? kwanini serikali yetu ni onevu kiasi hiki? Pesa za wahanga wa mabomu wanataka wazifanyie nini?

Yaani aliyepata kiasi kikubwa ni Tshs. 700,000/= tu wakati kuna nyumba zenye thamani ya zaidi ya ya tshs. milioni 20 kwa nyumba moja zimebomoka, najiuliza kwanini serikali yetu inatuongezea umasikini?

Nasema nimechoka.....dawa kujitoa mhanga ndio heshima itakuwepo.

sisi nyumba yetu ilibomolewa maeneo ya kipawa mwaka juzi kupisha ujenzi wa uwanja mpya sina hamu tulipewa sh milioni 2.5 na kiwanja na kuna familia ya watu 12 walipewa laki5 nusura wazimie unadhani laki5 au milioni 2.5 utaifanyia nn kwa ujenzi wa sasa?serikali hii MUNGU atatulipia manaake hata ngoma ikiwambwa sana pia mwisho wake hupasuka tu.ipo siku yuko wapi leo hii tajiri gaddafi?
 
tuulize wenzenu wa mbagala. ilikuwa ni elfu arobaini na tano haizidi laki. tena kipindi kile ndo uchaguzi mkuu ulikuwa unakaribia.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom