Rushwa ni rushwa tu, tena hizi ndogondogo zina tuumiza kweli sisi watu wa chini, maaana inatuaumbua sana, nadhani jambo la Muhimu naona Serikali pia Iwaboreshe mishahara ya Mahakimu maaana wanaishi maisha ya dhalala tofauti na majukumu makubwa waliyo kabidhiwa ya kutoa Haki, mbona hatusikii rushwa kwa majaji hii ni kwa sababu wao mishara yao iko safi sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.