Jamani wasomi wa sheria(UDSM) ,i guess huyu hakimu ni gradute wa Law UDSM!
Je kuna sheria yoyote ya kwamba personal debts between individuals inaweza kumweka mtu gerezani?????????????????
Hii ni comedy ya elimu ya uanasheria Tanzania,ambayo sasa it is a big joke.
Labda wanasheria hawa watualeze,kama akina Wakili Ridhiwani
Je kuna sheria yoyote ya kwamba personal debts between individuals inaweza kumweka mtu gerezani?????????????????
Hii ni comedy ya elimu ya uanasheria Tanzania,ambayo sasa it is a big joke.
Labda wanasheria hawa watualeze,kama akina Wakili Ridhiwani