Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Vipi Dr Slaa, ataongelea suala la ushoga la wafadhili wa Chadema Conservative, au anaogapa shindikizo la kunyimwa masaada..
Navyowajua Conservative, Chadema wakisema chochote juu ya ushoga ni hatari kwao.
Wataambiwa warudishe Magari, Pikipiki, Baiskeli, na pesa za kampeni walizopewa mwaka 2005 na 2010...
Nyie endeleeni tu kukumbatia ushoga
shoga ni yule anelipiwa chumba na kununuliwa suti na waarab..