na wewe ni kigeugeu ile mbaya, haya tuambie chama chako. CCm uliinyea, sasa uko chama gani?
Wewe wakati mahabusu wanaongea wewe ulikuwa wapi? Usilete porojo sheria zinakataza raia kuongea na mahabusu mpaka ruhusa maalumu..
Wewe ulipewa ruhusa ya kuongea na mahaubusu?
halafu nahic wewe unatafuta mwanaume humu ndaniHii thread, kama kawaida, haina maendeleo.
Wamekuja kumshangilia muhuni mwenzao.
Wamekuja kumshangilia muhuni mwenzao.
Chadema bana kwa hiyo hata majambazi, wahalifu mnawatetea? Kwa hiyo Chadema mkichukuwa nchi mnawaachia wafungwa wote..
Na magereza yote mnayafunga tuchinjane hovyo
Wamekuja kumshangilia muhuni mwenzao.
Mods hizi thread za Lema zimekuwa nyingi kila Chadema-kata anaanzisha thread..ziunganisheni
muhuni ni mama yako aliokuzaa wewe baada ya kumpa baba ako bila ndoa
Mods hizi thread za Lema zimekuwa nyingi kila Chadema-kata anaanzisha thread..ziunganisheni
wacha kulialia kwa Mods!
wahuni magamba wanaotesa wanainchi kwa kuwatukuza wawekezaji waco na faida ktk miaka 50 ya uhuru.Wamekuja kumshangilia muhuni mwenzao.