Kutoka kwa source wa uhakika , rumors kua ameparalyse miguu yote ni uongo wa kupikwa...mhusika..yu salama mwenye afya tele...kubali..kataaa...
Aliyeleta humu ndani kuwa kaparalyze alikua na mchango gani kwa taifa??? acha kuwa blinded na biasness..
Huko kwenye gahawa kuna kufaa sana wewe , maana unaamini sana kil akitu kinachoandikwa humu..source yangu naiamini 100% so i am very sure of what i am saying mwenye evidence aje nazo humu kuprove otherwise..na mimi nitakuja nazo zangu..so umeleta coz kuna mtu alileta opposite!
hii nadhani si habari tena! nadhani inafaa zaidi kwenye vijiwe vya Gahwa!