Losomich
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 371
- 71
Lakini simshangai rais Kiwete kutumia post yake hiyo ya urais kuzunguka dunia nzima kwa urais wenye aliupata kwa njia feki, hasa uchakachuaji. Na tume ya uchaguzi kumtangaza mshindi wakati hakushinda. Rais Kiwete hawajibiki kkwa wananchi kwa kuwa hawamkupa kura za kutosha kuwa rais wao hivyo aliapishwa tu japo hakushinda.