CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Wadau habari zenu?
Naomba wataalamu wa sheria wanijulishe kuhusu haki ya mfanyakazi kupata bima ya afya (yeye mwenyewe, mke/mume wake na watoto).
Sehemu nyingi nilizopita kufanya kazi, hususan ktk International organisations/companies nimekuwa nikikuta utaratibu wa mfanyakazi kupatiwa bima ya afya (ya kwake mwenyewe, ya mke/mume wake na watoto wanne au sehemu zingine yeye mwenyewe, mke/mume wake na watoto na/au watu tegemezi wanne ).
Lkn kuna kampuni moja ya kimataifa hapa Tz inadai inalipia bima ya afya kwa mfanya kazi tu - hao wengine, sijui mke/mume na watoto watajijua.
Swali:
1)International Labour Laws zinasemaje?
2)ILO inasemaje?
3)Sheria za Tz zinasemaje?
Naomba wataalamu wa sheria wanijulishe kuhusu haki ya mfanyakazi kupata bima ya afya (yeye mwenyewe, mke/mume wake na watoto).
Sehemu nyingi nilizopita kufanya kazi, hususan ktk International organisations/companies nimekuwa nikikuta utaratibu wa mfanyakazi kupatiwa bima ya afya (ya kwake mwenyewe, ya mke/mume wake na watoto wanne au sehemu zingine yeye mwenyewe, mke/mume wake na watoto na/au watu tegemezi wanne ).
Lkn kuna kampuni moja ya kimataifa hapa Tz inadai inalipia bima ya afya kwa mfanya kazi tu - hao wengine, sijui mke/mume na watoto watajijua.
Swali:
1)International Labour Laws zinasemaje?
2)ILO inasemaje?
3)Sheria za Tz zinasemaje?