Don Calvino
Senior Member
- Mar 3, 2012
- 113
- 29
Je ni haki mwanamke(mke) aamue kuletewa mke mwenza (mwanaume kupata ruhusa kuoa mke wa pili)?
Je ni haki mwanamke(mke) aamue kuletewa mke mwenza (mwanaume kupata ruhusa kuoa mke wa pili)?
Je ni haki mwanamke(mke) aamue kuletewa mke mwenza (mwanaume kupata ruhusa kuoa mke wa pili)?
Si haki. Binafsi nilishawahi kuwaonya dada zangu kuwa kama kweli mumeo anakupenda usikubali akuletee mke mwenza kwani penzi haligawanyiki kamwe. Yule (mwanamme) anayeoa mke wa pili kahamua ama kaona penzi kwako limekwisha ilichobaki ni heshima tu hivyo kukuacha hawezi kutokana na sababu anazozijuwa yeye mwenyewe. japo waislam wamehalalisha umalaya kwa mwanamme kuoa wake zaidi ya mmoja nayo pia haisaidii kitu kwani mwanamme aliyezoea kuoa oa hawezi acha hiyo tabia. Utakuta mtu ana wanawake watatu lakini bado anapiga nje :A S 2152:
umeongea vizuri, ulipokosea ni hapo kusema kuwa Waislamu wamehalalalisha umalaya... kumbuka kuwa kuna watu hawana imani hiyo, wanaamini kuishi na mke mmoja tu lakini wana vimada zaidi ya kumi, kila kukicha na nyumba ndogo. usipenda kuzungumzia imani za watu kama huzijui hata waislamu waliambiwa kuwa kama watataka kuoa ni lazima wawe na uwezo wa kuwahudumia wote sawa kwa sawa, kama hawawezi waache, kuhudumia ni pamoja na kuwatosheleza kwa kila mahitaji yao, tofauti na hivyo WASIOWE.Si haki. Binafsi nilishawahi kuwaonya dada zangu kuwa kama kweli mumeo anakupenda usikubali akuletee mke mwenza kwani penzi haligawanyiki kamwe. Yule (mwanamme) anayeoa mke wa pili kahamua ama kaona penzi kwako limekwisha ilichobaki ni heshima tu hivyo kukuacha hawezi kutokana na sababu anazozijuwa yeye mwenyewe. japo waislam wamehalalisha umalaya kwa mwanamme kuoa wake zaidi ya mmoja nayo pia haisaidii kitu kwani mwanamme aliyezoea kuoa oa hawezi acha hiyo tabia. Utakuta mtu ana wanawake watatu lakini bado anapiga nje :A S 2152: