Haki msingi kwa mashoga zitambuliwe

Status
Not open for further replies.
Swali langu tufanye nini na watu hawa ambao tunao ndani ya jumuiya zetu? Kama Sheria ya nchi na katiba zinawalinda na tunachosuta ni hisia ambazo haziwezi kuwafunga kutokana na kulindwa na sheria, vinginevyo badili sheria.

Binafsi nasikia kichefuchefu kabisa wayafanyayo, lakini wao ni binadamu wanaostahili haki zao. Nimewahi kufanya kazi pamoja nao nchi za nje, hasa lesbians, sijaona ubaya wao kwa jamii au kikazi. Ni watu wazuri kufanya nao kazi kuliko wengine ambao ni wasumbufu sana katika mambo ya kujamihiana kazini.

Lesbians wako safi kushirikiana nao unajisikia kama uko na mwanaume mwenzako, na hawataki kuguswa kwa mambo ya kipuzi na wanajisikia kama wako huru bila kuleta mtafaruku kwa watu. Wengi wao wanafanya kwenye nafasi nyeti zao, so wote waonyeshao hadharani.

Sikubaliani na mtindo wao ulio kinyume cha maumbile na mpango mzima wa Muumba wetu kushirikisha uumbaji. Lakini tufanyeje na watu hawa wakati sheria inawalinda?

Hizo sheria zitakuwa zimetungwa na ccm. tuipige chini, tuzifute hizo sheria ovo, tena tusiogopeshwe na ugumu wa kuitenda kazi hiyo.
 
Angalisho kwa wageni waingiao Tanzania kutoka nchi zao kuhusu ushoga, ila bado sijaikuta wazi inavyofanya kazi na wapi ilipoandikwa kuhusu Tanzania kuwa gay/lesbians ni kinyume cha sheria.

Homosexuality is illegal in Tanzania and carries a hefty jail sentence. Generally, being gay is still largely a taboo subject, lesbianism doubly so, and many locals take the attitude that it's a foreign, un-African practice. Nevertheless, because of this, most locals in the tourism industry do accept that non-African visitors may be gay, so you'll receive no discrimination. However, complete discretion is advised -- even public displays of affection between a heterosexual couple are frowned upon on the Muslim coast and Zanzibar. Although in saying that, platonic affection between African males, such as holding hands or, by Muslims, kissing on the cheek, is common and a sign of friendship and respect.​


 
Tanzanian gays and lesbians are mobilising
afrol.com, 22 November
- New funding to the Tanzanian gay and lesbian organisation Community Peer Support Services (CPSS) has resulted in a training programme of 250 gay and lesbian activists, according to an ILGA newsletter. CPSS has emphasised on sensitising members and in acquiring advocacy skills.

Community Peer Support Services (CPSS) is an lesbian, gay, bisexual and transgendered (LGBT) movement started by a few queer activists three years ago to advocate for the rights of LGBT people in Tanzania. "The main aim of the group is to mobilise LGBT people and advocate for the respect of their human rights. CPSS since inception has been engaged in membership recruitment through our contact persons in different towns throughout Tanzania. Other activities have been hindered due to lack of funds but with financial support we can develop a programme," CPSS states.

CPSS currently has 334 members throughout Tanzania and we anticipate recruiting others. Tanzania has 25 regions but we have divided it into ten zones uniting tow or three regions to form a zone which nominates a key contact person as the leader of that zone.
- We have a management board consisting of a chair, vice chair, secretary, vice secretary, treasurer and ten executive members (key contact persons) all the above elected by the Annual General Meeting for a period of three years, the CPSS told ILGA (the International Lesbian and Gay Association).
Activities since inception have been hindered by lack of funds. However, "recently we received funding from Hivos to open a co-ordination office and to conduct ten zonal human rights workshops in order to sensitise members and acquire advocacy skills, share expertise and information, identify challenges, limits, opportunities. We are also in the process of documenting human rights violations in our country," CPSS told ILGA.
The outcomes so far have been:

  • 250 LGBT people mobilised and trained as gay activists.
  • The 250 LGBT people will contribute to human rights advocacy in Tanzania
  • The capacity to lobby
  • Education on human rights of LGBT people has been done
  • Co-ordination of project activities have been ensured.
  • Linkages have been created both nationally and internationally
Homosexuality remains illegal in Tanzania, but there has not been reports of prosecusions, as i neighbouring Uganda and Kenya.
 
Demokrasia ni uhuru ambao una limit, kama we ni mwanachama zinapopigwa kura wengi wape. Kama wengi umoja wa mataifa waliridhia hakuna jinsi na kukubalina vinginevyo tungekwua taifa kubwa kuwa na veto vote. Kama hatukubaliani na hayo tujitoe umoja wa mataifa jambo ambalo si rahisi kwa ufahamu wangu mdogo.

mkuu, demokrasia huwa sahihi na ina-aply ikiwa itahusisha eneo dogo ambalo wakazi wake wanafahamiana wote, kinyume chake sungura watalazimishwa na tembo kula miiba!!!!
 
Nimejaribu kutohoa source mbaliambali inaelekea hapa Tanzania mfumo huo ni haramu, sijajua uharamu wake ni wa maneno au wa kisheria, maana sijajua bado kifungu cha sheria kinachoharamisha vitendo hivyo. Vinginevyo mapokeo na utamaduni wetu ndio unaotuweka katika mkondo wa kufanya ndio sheria inayoharamisha mfumo huo.
 
mkuu, demokrasia huwa sahihi na ina-aply ikiwa itahusisha eneo dogo ambalo wakazi wake wanafahamiana wote, kinyume chake sungura watalazimishwa na tembo kula miiba!!!!

Nakubaliana nawe kwa hoja yako, ni ukweli wa uwazi kabisa. Mtoto ndani ya nyumba huwezi kumzidi baba kwani akishaamua ukiwa kinyume chake maana yake umeamua kukosa unachotegemea. Je, hali hii itaendelea hadi lini?
 
Nakubaliana nawe kwa hoja yako, ni ukweli wa uwazi kabisa. Mtoto ndani ya nyumba huwezi kumzidi baba kwani akishaamua ukiwa kinyume chake maana yake umeamua kukosa unachotegemea. Je, hali hii itaendelea hadi lini?

Tuitendee haki historia, pale bwagamoyo si mahali pa kucheka cheka, tuwajue maadui zetu, badala ya kuongopeana eti ni ujinga, maradhi . . . ., adui yetu ni MZUNGU/MWARABU.
 
Tuitendee haki historia, pale bwagamoyo si mahali pa kucheka cheka, tuwajue maadui zetu, badala ya kuongopeana eti ni ujinga, maradhi . . . ., adui yetu ni MZUNGU/MWARABU.

Umeshaeleza maana ya Bagamoyo ni Bwagamoyo, vinginevyo tungeendeleaza kuchekacheka hata biashara ya utumwa ya kuvusha watu toka Bwagamoyo hadi Zenj isingekoma licha ya wamisionari kuanza makazi pale kizuiani kuwalinda waliowaokoa kwa kuwanunua kwa kbuadilishana na nguo.
 
Umeshaeleza maana ya Bagamoyo ni Bwagamoyo, vinginevyo tungeendeleaza kuchekacheka hata biashara ya utumwa ya kuvusha watu toka Bwagamoyo hadi Zenj isingekoma licha ya wamisionari kuanza makazi pale kizuiani kuwalinda waliowaokoa kwa kuwanunua kwa kbuadilishana na nguo.

Unaelewa kuwa mnunuzi wa watumwa alikwa muzungu, mwarabu akawa mwindaji wa hao watumwa i.e babu zako akawauze kupitia bagamoyo, kilwa n.k. leo hao wahuni ndio wakufundishe haki za binadamu!!!!
 
Unaelewa kuwa mnunuzi wa watumwa alikwa muzungu, mwarabu akawa mwindaji wa hao watumwa i.e babu zako akawauze kupitia bagamoyo, kilwa n.k. leo hao wahuni ndio wakufundishe haki za binadamu!!!!

Umanifunja mbavu zangu. Hiyo ndiyo inayotufanya tukiwa nao ni kuchekacheka tu na kuwafungulia njia za kuja kufyonza utajiri wetu bila kuangalia babu zetu walioathirika na utumwa ulioletwa na wazungu sisi watoto wao tusimameje? Tuendelee kuwa wavushaji wa mali ghafi kwenda kwao na papo tuwe soko la bishaa ambazo mali ghafi zilitoka kwetu?
 
For Gay Bashers

Sasa na sisi ambao tunapenda wake zetu watutie vidole tupo kundi gani, maana msipoangalia tutagraduate twende huko au na sisi ndio hivyo tena , I am just sick and tired of this gay bashing they are humans and wana right zao , mtaniweka kundi gani mimi maana naenjoy sana you stupids naona ban inanifuata but its okay
 
Kama wapo TZ basi waliumbwa kwa makosa. Ni washenzi wakubwa. Haiingii akilini eti dume zima huku limejaza mavi ndo uninihii. Kama walijizowesha basi kutengwa na jamii ndiyo stahili yao kama walizaliwa hivo basi wajijue kuwa uumbaji haukukamilika na wamlaumu Muumba. Ila samahani kwa maneno yangu makali kwa sababu siamini kama hali yao hiyo whether is acceptable or not to 99% of tz popn.

Ukifuata nidhamu ya maadili uko sahihi kabisa katika kauli yako ingawa ni kali sana. Mimi mwenyewe nilivyokulia katika mazingira ya kimaadili katika utamaduni mila na desturi zetu, kuonezea na maadili ya religious siwezi kupata picha msukumo wa watu hawa kufanya mambo kama hayo kinyume cha maumbile. Lakini ninachojadili hapa haki zao za msingi kama binadamu ndani ya jumuiya yetu iweje?
 
For Gay Bashers

Sasa na sisi ambao tunapenda wake zetu watutie vidole tupo kundi gani, maana msipoangalia tutagraduate twende huko au na sisi ndio hivyo tena , I am just sick and tired of this gay bashing they are humans and wana right zao , mtaniweka kundi gani mimi maana naenjoy sana you stupids naona ban inanifuata but its okay

Hoja yako imenifikirisha, maana mengi yanayojadiliwa hasa mahusiano utaona yanayofanyika ni yale yale ambayo gays na lesbians hufanya. Tunawafukuza gays/lesbians kutokea mlango wa nyuma na sisi tunaingia kuchukua nafasi yao kutokea mlango wa mbele walioingilia tunaowafukuza. Je sisi tutatokea mlango gani maana ule wa nyuma waliotokea lesbian/gays wapo watatucheka imetokeaje tuwafukuzie mlango ambao na sisi ndio tunaotokea?

Majadiliano mengi yanayohusu mahusiano katika maisha ya ndoa utaona watu wanaelekeza mitindo na mienendo ile ile ya gays/lesbians, kwa maana hiyo tunapinga yale yale yanayotenda na hao gays/lesbians wakati tunafanya kwa uwazi na hawa wa jinsia tofauti. Tunapinga nini na tunakubali nini?

Ninachoona tatizo la kutunza mila, desturi ili kudumisha utamaduni wetu wa kiafrika, kuna kazi ya ziada kushindana na mwigiliano wa ulimwegu wa leo ambao unafananishwa kuwa ni kama kijiji imoja kwa sababu ya teknologia ya mawasiliano ya karne yao kukua kwa kasi na kuwa na uthibiti mdogo usioweza kukabiliana na kasi ya mawasiliano na mfumo wa mawasiliano.

Nilisita kumnunulia mdogo wangu computer kwa kuhofia atajifunza mambo mabaya ya mtandaoni, lakini mazingira ya chuo yanadai awe nayo. Msuguano niliokuwa nao ulikuwa mkubwa, lakini nikaishia kulainika kumnunulia compute kwa vile ni muhimu kwa uwepo wake chuoni. Kwani kutomnunulia computer kwa kuhofia niliyotilia shaka si rahisi kumzuia kwa kutumia source nyingine. Huo ndio ulimwengu wa leo.

Jambo la msingi ni kulea familia kimaadili na kuwaepusha vijana kujijihisisha na mambo hayo, na kukemea kila iwezekanapo inapojitokeza dalili, kwa wenye usikivu itawafaa sana. Lakin kwamba kuwafukuza watu wanaojihusisha na mambo hayo si suluhisho sahihi kwani ni kinyume cha haki za binadamu.
 
Ukifuata nidhamu ya maadili uko sahihi kabisa katika kauli yako ingawa ni kali sana. Mimi mwenyewe nilivyokulia katika mazingira ya kimaadili katika utamaduni mila na desturi zetu, kuonezea na maadili ya religious siwezi kupata picha msukumo wa watu hawa kufanya mambo kama hayo kinyume cha maumbile. Lakini ninachojadili hapa haki zao za msingi kama binadamu ndani ya jumuiya yetu iweje?

Hawana hizo haki, wala mtu asitushurutishe kanakwamba tuwatengee hizo zinazodaiwa kuwa haki. wakafie mbele huko. kama wanawapenda wawapokee makwao kama wakimbizi wa kingono.
 
Ukifuata nidhamu ya maadili uko sahihi kabisa katika kauli yako ingawa ni kali sana. Mimi mwenyewe nilivyokulia katika mazingira ya kimaadili katika utamaduni mila na desturi zetu, kuonezea na maadili ya religious siwezi kupata picha msukumo wa watu hawa kufanya mambo kama hayo kinyume cha maumbile. Lakini ninachojadili hapa haki zao za msingi kama binadamu ndani ya jumuiya yetu iweje?
Bono wa U2 aliwahi kukaririwa akisema "Free ur mind n ur ass will follow."

Waruhusu mashoga wafanye "mambo kama hayo kinyume cha maumbile", halafu baada ya hapo, wanaotaka kujamiiana na dada zao, kaka zao, baba zao, mama zao, watoto wadogo na wanyama kama mbwa, punda, bata, ng'ombe nao watadai haki zao kwenye katiba.
 
Hawana hizo haki, wala mtu asitushurutishe kanakwamba tuwatengee hizo zinazodaiwa kuwa haki. wakafie mbele huko. kama wanawapenda wawapokee makwao kama wakimbizi wa kingono.

Tuwatengee kisiwa cha Magadascar na wa madagascar tuwape kipande cha nchi barani mwetu. Au unaonaje? Ni kama Nyerere alivyowaepusha wachawi kutoka vijijini wasiuawe na kuwatengea eneo la kushi peke yao kijiji cha wachawi wachawiane wenyewe kwa wenyewe, mmoja ya kijiji hicho ni sehemu moja wilaya katika Mkoa Dodoma. Unaonaje Maalim?
 
Muweka mada na yy ni gay/lesbian. Anajitetea kwa hali na mali. Sasa mi nataka nkuulize, mwanaume mzima, amepewa mzakari manyoya kisha hautumii badala yake anaenda kusukumiziwa paipu ya maziwa ya tanga fresh, unaona ni sawa? Mungu amemuumba mwanaume ili afanye kazi yake anayostahili, sasa kama mwanaume mzima anajiona bora awe kmmwanamke solutionni very simple,ajidunge sindano ya kufa tu, kisha ajiumbe awe mwanamke, au vipi? Yani dume zima eti uchore 7 mwengine afirigise!!
 
Tumekuwa na kawaida ya kulaumu tu bila kuangalia sheria ambazo huongozwa na sheriamama ambayo ni katiba ya nchi. Katiba ya nchi haikatazi ushoga, bali inakazia haki za msingi za uhuru wa kila binadamu.

Mashoga wapo wengi tu gays/lesbians na tunawaona kila siku na sheria inawalinda kama raia wenye haki ya kupata maisha, ajira na haki nyingine kwa msingi wa haki za binadamu.

Wanaopinga baadhi tumewaendekeza binti kujinafsisha kama lesbians kwa ajili ya kulinda ubikira wao ili waolewapo waonekana wako fresh. Hayo yako karibu mabara yote duniani.

Leo mambo haya huongelea na kuonekana hadharani na kwa uwazi sababu ya mawasiliano kuwa rahisi, lakini wakati huo yatokeayo kijiji fulani waliokuwa wanayafahamu na hao na yaliishia kwao. Ni dalili wazi mambo haya yapo.

Tunachopaswa kukemea ni kuwalea vijana kujiepusha na vitendo hivyo na kukemea kwamba utamaduni huo sio mzuri kwa vile si mpango wa Mungu katika kushiriki uumbaji wake. Kwa waliokwisha athirika na mfumo huo hakuna njia nyingine ya kuwatema katika jamii kwa vile wana haki za msingi kama binadamu na hata haki ya kupata huduma za kijamii na ajira ni halali yao.


Gay and Lesbian Rights

jdn-t3hi-uejze3b4crddw.gif
e5c5xeifzuwehmspebrhog.gif

kwa hiyo mnataka haki za kuf.,-,wa sio!? Endelea,mtazipata.
 
Bono wa U2 aliwahi kukaririwa akisema "Free ur mind n ur ass will follow."

Waruhusu mashoga wafanye "mambo kama hayo kinyume cha maumbile", halafu baada ya hapo, wanaotaka kujamiiana na dada zao, mama zao, watoto wadogo na wanyama kama mbwa, punda, bata, ng'ombe nao watadai haki zao.

Kataka kumbukumbu zangu mambo haya hayaja anza leo, ni ya zamani na hata misahafu inaelezea yaliyotokea enzi hizo ufiraji, mambo ya ufirauni. Kama utaweza kuona vituko vya ajabu enzi za dark-ages utaona vituko hivyo, na ni vigumu kuvizuia moja kwa moja kwa sababu ni jambo la mtu binafsi na linapokuja kujulikana limeshaota mizizi. Cha msingi sheria za jamii hazivunjwi na tendo la kujinafsi binafsi vinginevyo afanya kashfa ambayo italeta uvunjaji wa sheria.

Kisheria hawa watu hawajavunja sheria, kwani sheria ya ndoa inatoa tu mwongozo ambao unaweka bayana nani atafunga ndoa na nani na wa jinsia gani. Lakini wangapi wanaishi bila ndoa hata kama ni wa jinsia tofauti?

 
Bono wa U2 aliwahi kukaririwa akisema "Free ur mind n ur ass will follow."

Waruhusu mashoga wafanye "mambo kama hayo kinyume cha maumbile", halafu baada ya hapo, wanaotaka kujamiiana na dada zao, kaka zao, baba zao, mama zao, watoto wadogo na wanyama kama mbwa, punda, bata, ng'ombe nao watadai haki zao kwenye katiba.

Umenena mkuu!!!

Hata mimi naona its nt fair kwamba wasen.ge/mashoga na wasagaji wapewe haki kikatiba wakati kuna watu nao wanataka haki kufanya ngono na mama zao, baba zao, dada zao, kaka zao, watoto under 18, wala unga wapewe haki zao, wauza unga nao wapewe haki zao,,,, Ahhh!! Mashoga bana! Kama wapo humi itabidi JF iweke option katika gender waongeze "msen.ge na msagaji"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom