Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Nina wazo la bidhaa ambayo nina uhakika haitengenezwi na kiwanda chocote duniani. Napenda kutoa wazo la bidhaa ili watanzania mlifanyie kazi hati miliki yake iwe ni ya JF. Ni bidhaa inayoweza kuwa na soko kubwa ndani na nje ya tanzania. Ni bidhaa italitangaza taifa letu nje.na ndani. Ni bidhaa tunayoweza ku export na kupata faida kuliko ile tunayopata kwenye kahawa
Bidhaaa yenyewe ni
CONDOM ZA ULIMI: condom hizi zinaweza kuwafaa
Bidhaaa yenyewe ni
CONDOM ZA ULIMI: condom hizi zinaweza kuwafaa
- wanaume wanapenda sana kwenda chumvini.Idea ya product zitakuwa na vipele kama condom za Mb**** na hivyo kusaidia katika kumpatia raha zaidi mpenzi wake wa kike.zitawafaa wanaume wanapenda romance nje ya ndoa.Akivaa condom ya dudu anavaa na condom ya ulimi. condom hizi zinaweza kuja katika ladha mbali mbali kama machungwa. asali, nk
- Wacheza sinema wanaolazimika kunyonyana ndimi wakati wa acting wakati si wapenzi wao zitawafaaa pia na hivyo kuwafanya wawe real zaidi kwenye ku act.
- Itampunguza maambukizi pia ya magonjwa na maradhi mbali mbali.