nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
HONGERA sana kwa ukaribu uliouweka na mwanao,
POLE kwa yote yaliyotokea kwa mwanao,
Ila mkeo hakutakiwa kuchukua hatua ya kumpiga mwanao ksb,
Hiyo hatua itamfanya aone kama kuna ukuta kati ya wazazi wake na yeye,
Jambo ambalo siyo zuri, Nadhani ukikaa na kumwelesha mkeo,
hatorudia tena kumnyamazisha mtoto pindi anapotaka kujua taarifa fulani,
au kutoa taarifa fulani.
Nina HASIRA na huyo fataki, mwaribifu wa watoto wetu,
Mfuate mwambie ushenzi anaoufanya unaufahamu,
na mpe tahadhari ya kumliport polisi pindi asipojirekebisha,
na ikiwezekana toa taarifa mpaka serikali za mtaa,
hii pia itasidia kuweza kumfatilia zaidi hata wazazi wengine,
na kumwonesha kuwa ushenzi na unyama wake umejulikana.
Huyo mtoto tafuteni muda wa kukaa naye, tumie lugha nyepesi inayoendana na umri wake,
atakayoweza kuielewa kuhusu mambo ya hatarishi kwake,
na kumwomba na kumsisitiza kuwa nyinyi wazaze wake ndiyo,
rafiki wake wa kwanza na wengine ndiyo wanafuatia, kila jambo lake,
nyie ndiyo muwe wa watu kwanza kulifahamu.
POLE SANA NDUGU YANGU, HATA SIJUI WALIMWENGU TUNAUTAKIA NINI HUU ULIMWENGU WETU.
HATARI KWA WATOTO WETU NI ZAIDI YA TUNAZOZIONA NA KUZISIKIA.
POLE kwa yote yaliyotokea kwa mwanao,
Ila mkeo hakutakiwa kuchukua hatua ya kumpiga mwanao ksb,
Hiyo hatua itamfanya aone kama kuna ukuta kati ya wazazi wake na yeye,
Jambo ambalo siyo zuri, Nadhani ukikaa na kumwelesha mkeo,
hatorudia tena kumnyamazisha mtoto pindi anapotaka kujua taarifa fulani,
au kutoa taarifa fulani.
Nina HASIRA na huyo fataki, mwaribifu wa watoto wetu,
Mfuate mwambie ushenzi anaoufanya unaufahamu,
na mpe tahadhari ya kumliport polisi pindi asipojirekebisha,
na ikiwezekana toa taarifa mpaka serikali za mtaa,
hii pia itasidia kuweza kumfatilia zaidi hata wazazi wengine,
na kumwonesha kuwa ushenzi na unyama wake umejulikana.
Huyo mtoto tafuteni muda wa kukaa naye, tumie lugha nyepesi inayoendana na umri wake,
atakayoweza kuielewa kuhusu mambo ya hatarishi kwake,
na kumwomba na kumsisitiza kuwa nyinyi wazaze wake ndiyo,
rafiki wake wa kwanza na wengine ndiyo wanafuatia, kila jambo lake,
nyie ndiyo muwe wa watu kwanza kulifahamu.
POLE SANA NDUGU YANGU, HATA SIJUI WALIMWENGU TUNAUTAKIA NINI HUU ULIMWENGU WETU.
HATARI KWA WATOTO WETU NI ZAIDI YA TUNAZOZIONA NA KUZISIKIA.