Hajiuzuru mtu na ole wao CCM atakaye toa saini watamvua gamba

Samahani kwa atakaye uliza source:

Ni hivi toka jana nawambia mambo ya ndani ya vikao vya muhimu kuwa waziri mkuu na baraza lake wamegoma kuondoka kwa sababu ni aibu sana mawaziri hao wanataka waondolewe kwa njia ya mabadiriko ya baraza la mawaziri lakini si kwa shinikizo kama la Zitto.

Sababu za wazi kabisa:

Wangekuwa na nia wangekuwa wamesharangaza kujiuzuru lakini wote wameomba mda warekebishe kasoro hizo lakini si kuwajibika kwa madudu yao.

Mpaka sasa hakuna kauli ya Rais wala waziri mkuu wake.

Wakuu ndo ukweli hakuna anayetaka kutokupishwa barabarani kwa ving'ora

Na ukivuliwa uanachama CCM, usitegemee mahakama zetu zitakulinda kama zinavoingilia maamuzi ya NCCR na CUF.
 
CHAMA CHA MAZUZUMAGIC, yaani wee waache tu. Kadiri wanavyo delay kuachia ngazi ndivyo chuki ya wananchi dhidi ya CHAMA CHA MADUDU inavyo ongezeka
Samahani kwa atakaye uliza source:

Ni hivi toka jana nawambia mambo ya ndani ya vikao vya muhimu kuwa waziri mkuu na baraza lake wamegoma kuondoka kwa sababu ni aibu sana mawaziri hao wanataka waondolewe kwa njia ya mabadiriko ya baraza la mawaziri lakini si kwa shinikizo kama la Zitto.

Sababu za wazi kabisa:

Wangekuwa na nia wangekuwa wamesharangaza kujiuzuru lakini wote wameomba mda warekebishe kasoro hizo lakini si kuwajibika kwa madudu yao.

Mpaka sasa hakuna kauli ya Rais wala waziri mkuu wake.

Wakuu ndo ukweli hakuna anayetaka kutokupishwa barabarani kwa ving'ora
 
Mbona hii ipo poa? Au wewe una brain concussion!

Ina u-upoa gani hii Mkuu, we huoni zimejaa hisia tu hapa!
Mathread ya hivi ndio yanayoporomosha hadhi ya JF na mtu kama wewe unashabikia mpaka kukosea wenzio heshima wakati mi nimekosoa kiungwana tu!
 
Mbona hii ipo poa? Au wewe una brain concussion!

Mkuu taratibu. Watu wengine si wakeretwa sana wa mabadiliko. Lakini ukweli unabakia pale pale kwamba hii nchi inakwamishwa sana na viongozi wake. Dhumuni kuu lao ni kujali maslahi yao na mtandao au jamaa zao. Uongo mtupu na maneno yasiyoandamano na vitendo. Uozo mwingi sana umepigiwa kelele lakini hawasikii. Tunataka vitendo leo kuliko maneno ya unafiki kila kukicha.
 
Ina u-upoa gani hii Mkuu, we huoni zimejaa hisia tu hapa!
Mathread ya hivi ndio yanayoporomosha hadhi ya JF na mtu kama wewe unashabikia mpaka kukosea wenzio heshima wakati mi nimekosoa kiungwana tu!


Mkuu JouneGwalu, basi yameisha msameheana ili tusipoteza mwelekeo. Lengo letu sote ni kutengeneza Tanzania iliyo bora katika nyanja zote zikiwemo za kiuchumi, kisiasa, kimaadili na kiutawala. Wote inatakiwa tujua maana halisi ya kuwajibika, utumishi wa umma, utawala wa sheria na haki za msingi za binadamu. This should be our collective objective for future survival.
 
kwa kweli ka imani kangu nilikonako kwa huyu jamaa zitto leo tena kameongezeka

Na leo ndio kipimo muhimu cha kufahamu unafisi wa wabunge wetu. Sahihi 70 ni kidogo sana kama wabunge wetu wangekuwa wakweli na wenye uchungu na nchi hii. Serikali ya kweli (serikali kuu na serikali za mitaa) daima huwajibika kwa watu wake. Acha tusubiri hili zoezi la Mhe. Zitto.
 
hapo hadi uwe mjengoni .. maana huko ndo walau waweza kuropoka ukasikilizwa
Sio lazima uwe mjengoni mkuu, unaweza ukaanzisha street marching, demonstrations, etc, hata bila kuwa mjengoni.
 
Wasipotaka kuachia ngazi wenyewe, waelewe kitu kimoja kuwa hawawezi kupambana na
kimbunga cha M4C,hivyo ni heri waondoke tu mapema ili waanze kuzoea kabla ya kuzolewa
na kimbunga cha M4C.
 
CCM wamekalia ncha ya mkuki, hawaponi safari hii, kwa vile wataamua chama kwanza na taifa baadaye basi wamekwisha.Wangekuwa na akili timamu wangeamua kuwa upande wa wananchi ambao ndiyo waliowaweka hapo kuliko kuwa upande wa ufisadi na unyang'anyi unaofanywa na serikali yao dhalimu.
 
tuingieni mitaani jamani tudai chetu kinachopotelea kwenye familia chache na kwa watanzania wanao teseka kwa mlo mmoja na kunyanyaswa na TRA kwa ununuzi na utumiaji wa mwisho kwenye kila kitu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom