Kottler Masoko
Senior Member
- May 28, 2010
- 193
- 28
- Thread starter
- #21
kama una uwezo wa kufanya hivyo kwann ulalamike?kiukweli hapo huna mtu just someone looking for alternative means...tafuta ambaye hata mkila ugali kwa mnafu anaridhika...
Yes, upo sahihi kiongozi, siyo nalalamika bali nimejaribu kutaka mawazo yenu wenzangu kama hii imekaaje kwani kabinti nakapenda kweli,ila I doubt kama na yeye ananipenda vivyo hivyo, asante kwa mchango wako pia Mkuu!!