Kottler Masoko
Senior Member
- May 28, 2010
- 193
- 28
MAMBO VIPI WADAU!!
Ndugu yenu nipo ktk michakato ya kutafuta Permanent GF,maana nimechoka kuchakachua na umri nao unasogea kwa kasi ya kimondo.
Nimefanikiwa kupata Kibinti Kimoja toka Kaskazini mwa Tanzania ( Chembamba,rangi ya Chocolate, Macho makubwa meupe pee,karefu ila me ni mrefu zaidi yake,kana nywele black ndefu nzurii, sema meno yake ni ya Gold) anasoma Chuo Kimoja katikati ya Jiji hapa, kwa kweli kazuri na katamuu..
Ila kuna tatizo moja linanikera mno, ni SIKU akiwa anakuja home kwangu ni mpaka masharti kibao yakiwemo,anakuja kwa muda anataka yeye,lazima ununue chupa 2 za st.Anna na nusu kilo ya kiti moto,na zawadi yoyote (kama ni perfume au underwear basi ziwe za ukweli vinginevyo atakususia) so hata cjinafasi nae vile me nataka mazee mpaka nahisi kama naibiwa kimtindo flani hivi...
HIYA C MATATIZO JAMANI!!!
Angalizo:
Please kama una matusi, madongo na maneno machafu bora usicomment,this is for men who real feel the pretty women(suffer like me) and and women who real like to be treated like pure queens...NI hayo tu.
Ndugu yenu nipo ktk michakato ya kutafuta Permanent GF,maana nimechoka kuchakachua na umri nao unasogea kwa kasi ya kimondo.
Nimefanikiwa kupata Kibinti Kimoja toka Kaskazini mwa Tanzania ( Chembamba,rangi ya Chocolate, Macho makubwa meupe pee,karefu ila me ni mrefu zaidi yake,kana nywele black ndefu nzurii, sema meno yake ni ya Gold) anasoma Chuo Kimoja katikati ya Jiji hapa, kwa kweli kazuri na katamuu..
Ila kuna tatizo moja linanikera mno, ni SIKU akiwa anakuja home kwangu ni mpaka masharti kibao yakiwemo,anakuja kwa muda anataka yeye,lazima ununue chupa 2 za st.Anna na nusu kilo ya kiti moto,na zawadi yoyote (kama ni perfume au underwear basi ziwe za ukweli vinginevyo atakususia) so hata cjinafasi nae vile me nataka mazee mpaka nahisi kama naibiwa kimtindo flani hivi...
HIYA C MATATIZO JAMANI!!!
Angalizo:
Please kama una matusi, madongo na maneno machafu bora usicomment,this is for men who real feel the pretty women(suffer like me) and and women who real like to be treated like pure queens...NI hayo tu.