Hajapewa talaka akamwoa!

Sawa The Boss ninakuelewa kaka na ninaomba radhi kwa kutumia maneno makali ya mzinzi. Lakini ninachosisitiza hapa si sahihi kumshauri aendelee na ndoa kwa kuwa ndoa kwa mujibu wa sheria(ambayo ndoa yake ya kwanza imesimamia)bado inahesabika kuwa ipo (unless zimefuatwa taratibu za kuitengua) hapa tunafungwa na sheria ama sivyo mbona institution ya ndoa ingekuwa uwanja wa fujo zaidi ya ulivyo sasa?!
 
ninachosema hapa ni hivi......<br />
mwanamke alishasitisha ndoa yake zaidi ya miezi sita iliyopita<br />
na sasa kaolewa tena.....hata kama legal procedures ni ndefu na kazikukamilika<br />
huwezi kumuita muongo au mzinzi........<br />
ndoa ya zamani imekufa na sasa kafunga ndoa mpya......ya halali na uwazi kwa kila mtu....<br />
<br />
ndo maana waarabu,talaka ni maneno tu, mara tatu,na siku hizi hata sms tatu tu ni talaka tosha<br />
hapa tatizo ni procedures za talaka, na sio uzinzi au uwongo

...Boss, hata talaka ya maneno au maandishi bado haihesabiki kisheria mmeachana [nchini tanzania] iwapo talaka hiyo haijapitia baraza la usuluhishi na mahakama ya ndoa, na kusajiliwa RITA.
 
...Boss, hata talaka ya maneno au maandishi bado haihesabiki kisheria mmeachana [nchini tanzania] iwapo talaka hiyo haijapitia baraza la usuluhishi na mahakama ya ndoa, na kusajiliwa RITA.

mkuu nakubaliana wewe kisheria...
but mimi ninachosema hapa kuwa ndoa na talaka sio mara zote
watu huangalia sheria zinasemaje......
watu huwa na maamuzi yao,hata kama sheria zipo tofauti kidogo...
ndo maana sheria zinatofautiana,nchi na nchi,tamaduni na tamaduni...
 
mkuu nakubaliana wewe kisheria...<br />
but mimi ninachosema hapa kuwa ndoa na talaka sio mara zote<br />
watu huangalia sheria zinasemaje......<br />
watu huwa na maamuzi yao,hata kama sheria zipo tofauti kidogo...<br />
ndo maana sheria zinatofautiana,nchi na nchi,tamaduni na tamaduni...

...the Boss, kwa ufahamu wangu..watu hufungia macho sheria wakati wa mapenzi motomoto.
Siku utayotoa/pewa/kuomba/kuombwa talaka ndipo wengi tulipokuta sheria za nchi na za kidini zilivyotubana. Hapo maamuzi yatategemea zaidi nani kashika makali, nani mpini...na kwa Tanzania yetu hii, nani ana mshiko zaidi.
 
mume yupi sasa?! Wa kwanza ana haki ya kushtaki kisheria na akalipwa fidia <br />
<br />
Wa pili kama wana mapenzi ya kweli washughulikie talaka (wakiwakilisha uthibitisho wa ndoa ya kwanza kutokuwepo) kisha wabariki ndoa yao but si busara kuanza au kuendelea kuishi pamoja ilhali mke anahesabika kama mke wa mtu! <br />
<br />
Wapate msaada wa kisheria

Umeijibu vizuri. Fidia yake ni kama tshs 2000/- kama sikosei.
Hiyo ndoa ni batili, nitashangaa zaidi iwapo RITA nao waliregister ndoa zote mbili bila kujali utata wa jina na divorce decree.
 
Umeijibu vizuri. Fidia yake ni kama tshs 2000/- kama sikosei.
Hiyo ndoa ni batili, nitashangaa zaidi iwapo RITA nao waliregister ndoa zote mbili bila kujali utata wa jina na divorce decree.

umeona hiyo fidia inavyoleta ujeuri????/

nakunyang'anya mkeo,naishi nae
ukienda mahakamani fidia ni 2000/--
nalipa cash kwa kicheko lol
 
mmenikumbusha uchaguzi uliopita

mtu unatangazia watu fulani mke wangu mimi
wakati analala na mwanaume mwingine kila siku...lol
aibu zingine bana
 
ninachosema hapa ni hivi......
mwanamke alishasitisha ndoa yake zaidi ya miezi sita iliyopita
na sasa kaolewa tena.....hata kama legal procedures ni ndefu na kazikukamilika
huwezi kumuita muongo au mzinzi........
ndoa ya zamani imekufa na sasa kafunga ndoa mpya......ya halali na uwazi kwa kila mtu...ndo maana waarabu,talaka ni maneno tu, mara tatu,na siku hizi hata sms tatu tu ni talaka tosha
hapa tatizo ni procedures za talaka, na sio uzinzi au uwongo.

Point The Boss, swala la talaka, hasa pale mwanamke anapotaka kuachana na mumewe, mara nyingi linakuwa na kizungumkuti, kwa mwanaume ni rahisi kuamua na kutekeleza, lakini pia kunakuwa na ugumu zaidi hasa kama wahusika watahusisha mali walizochuma kipindi cha ndoa, kama mwanaume ndiye aliyekuwa mchumaji mkuu, swala la kutoa talaka kwake litakuwa gumu kwa maana ya kujali zaidi zile mali. kwani moja kwa moja atajua kuwa kuna kugawana mali na kwa mwanamke kama yeye ndiye aliyekuwa mchumaji mkuu, atawaza 'yaani niondoke halafu hizi malia aje kuafaidi mwingine'
Lakini hata pale mke atakapoonesha kutojali hizo mali na kutaka kuachana na mume, bado kutakuwa na usumbufu wa hali ya juu, wote tunajua jinsi maswala ya kisheria yalivyo magumu hapa nchini na ndio maana wengine hufikia kuondoka na kwenda kuanza maisha upya. Je akipata mume mwingine ndio asiolewe?.............. Bado nauliza sheria inamlindaje huyu mwanamke.
 
ninachosema hapa ni hivi......
mwanamke alishasitisha ndoa yake zaidi ya miezi sita iliyopita
na sasa kaolewa tena.....hata kama legal procedures ni ndefu na kazikukamilika
huwezi kumuita muongo au mzinzi........
ndoa ya zamani imekufa na sasa kafunga ndoa mpya......ya halali na uwazi kwa kila mtu....

ndo maana waarabu,talaka ni maneno tu, mara tatu,na siku hizi hata sms tatu tu ni talaka tosha
hapa tatizo ni procedures za talaka, na sio uzinzi au uwongo

Point The Boss, swala la talaka, hasa pale mwanamke anapotaka kuachana na mumewe, mara nyingi linakuwa na kizungumkuti, kwa mwanaume ni rahisi kuamua na kutekeleza, lakini pia kunakuwa na ugumu zaidi hasa kama wahusika watahusisha mali walizochuma kipindi cha ndoa, kama mwanaume ndiye aliyekuwa mchumaji mkuu, swala la kutoa talaka kwake litakuwa gumu kwa maana ya kujali zaidi zile mali.

kwani moja kwa moja atajua kuwa kuna kugawana mali na kwa mwanamke kama yeye ndiye aliyekuwa mchumaji mkuu, atawaza 'yaani niondoke halafu hizi malia aje kuafaidi mwingine'

Lakini hata pale mke atakapoonesha kutojali hizo mali na kutaka kuachana na mume, bado kutakuwa na usumbufu wa hali ya juu, wote tunajua jinsi maswala ya kisheria yalivyo magumu hapa nchini na ndio maana wengine hufikia kuondoka na kwenda kuanza maisha upya. Je akipata mume mwingine ndio asiolewe?.............. Bado nauliza sheria inamlindaje huyu mwanamke.
 
ninachosema hapa ni hivi......
mwanamke alishasitisha ndoa yake zaidi ya miezi sita iliyopita
na sasa kaolewa tena.....hata kama legal procedures ni ndefu na kazikukamilika
huwezi kumuita muongo au mzinzi........
ndoa ya zamani imekufa na sasa kafunga ndoa mpya......ya halali na uwazi kwa kila mtu....

ndo maana waarabu,talaka ni maneno tu, mara tatu,na siku hizi hata sms tatu tu ni talaka tosha
hapa tatizo ni procedures za talaka, na sio uzinzi au uwongo
Point The Boss, swala la talaka, hasa pale mwanamke anapotaka kuachana na mumewe, mara nyingi linakuwa na kizungumkuti, kwa mwanaume ni rahisi kuamua na kutekeleza, lakini pia kunakuwa na ugumu zaidi hasa kama wahusika watahusisha mali walizochuma kipindi cha ndoa, kama mwanaume ndiye aliyekuwa mchumaji mkuu, swala la kutoa talaka kwake litakuwa gumu kwa maana ya kujali zaidi zile mali. kwani moja kwa moja atajua kuwa kuna kugawana mali na kwa mwanamke kama yeye ndiye aliyekuwa mchumaji mkuu, atawaza 'yaani niondoke halafu hizi malia aje kuafaidi mwingine'
Lakini hata pale mke atakapoonesha kutojali hizo mali na kutaka kuachana na mume, bado kutakuwa na usumbufu wa hali ya juu, wote tunajua jinsi maswala ya kisheria yalivyo magumu hapa nchini na ndio maana wengine hufikia kuondoka na kwenda kuanza maisha upya. Je akipata mume mwingine ndio asiolewe?.............. Bado nauliza sheria inamlindaje huyu mwanamke.
 
Point The Boss, swala la talaka, hasa pale mwanamke anapotaka kuachana na mumewe, mara nyingi linakuwa na kizungumkuti, kwa mwanaume ni rahisi kuamua na kutekeleza, lakini pia kunakuwa na ugumu zaidi hasa kama wahusika watahusisha mali walizochuma kipindi cha ndoa, kama mwanaume ndiye aliyekuwa mchumaji mkuu, swala la kutoa talaka kwake litakuwa gumu kwa maana ya kujali zaidi zile mali. kwani moja kwa moja atajua kuwa kuna kugawana mali na kwa mwanamke kama yeye ndiye aliyekuwa mchumaji mkuu, atawaza 'yaani niondoke halafu hizi malia aje kuafaidi mwingine'
Lakini hata pale mke atakapoonesha kutojali hizo mali na kutaka kuachana na mume, bado kutakuwa na usumbufu wa hali ya juu, wote tunajua jinsi maswala ya kisheria yalivyo magumu hapa nchini na ndio maana wengine hufikia kuondoka na kwenda kuanza maisha upya. Je akipata mume mwingine ndio asiolewe?.............. Bado nauliza sheria inamlindaje huyu mwanamke.

Mnajiumiza bure vichwa vyenu, hakuna sheria hapa tanzania ni uzushi tu unaendelea huko, mtafikishana huko mtazunguuuushwa we bila sababu huku mnapoteza muda wenu wa kufanya mambo ya kuwaletea maendeleo. Huyo mke kama alifikia mpaka kuolewa tena mume hajajitokeza aje ajitokeze sasa? na hata akijitokeza atakua anataka tu kumkomesha huyo mdada wa watu. Waendelee tu na maisha yao kwa raha zao hao wanandoa wapya kama kweli wanapendana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom