payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Shida ni kuwa-mobilise wananchi watambue ya kwamba huyu jamaa nchi imemshinda.
Lakini kwa matukio yanayoendelea, na yanayowaathiri wananchi punde nchi italipuka.
Angalia mambo yafuatayo;
Mauaji yaliyotokea arusha
Mauaji yaliyotokea Nyamongo
Uvamizi wa ardhi unaotokea sehemu mbalimbali nchini
Suala la mgawo wa giza
Suala la serikali kuishiwa na kukopa kopa benki za ndani
Mishahara ya waalimu
Migomo vyuoni
Uchakachuaji kwenye Kilimo Kwanza
Ufisadi UDA,Meremeta,EPA n.k
Mgawanyiko ndani ya chama cha magamba (CCM)
Malipo duni kwa polisi na wanajeshi
Ukosefu wa ajira kwa vijana
Kuwagawanya watanzania kwa kutumia propaganda za UDINI
Uchakachuaji wa kura uliofanywa kwenye uchaguzi wa mwaka jana
Mfumuko wa bei usio dhibitiwa huku gharama za maisha zikipanda kila uchao
Matumizi mabaya ya fedha za wahisani
NB; kwa kifupi serikali dhaifu ya sasa imeshachukiza kila kundi lililopo ndani ya taifa ili, na watu wapo standby kusubiri Amri ya mwenye kujitolea kumfunga paka kengele.
Lakini kwa matukio yanayoendelea, na yanayowaathiri wananchi punde nchi italipuka.
Angalia mambo yafuatayo;
Mauaji yaliyotokea arusha
Mauaji yaliyotokea Nyamongo
Uvamizi wa ardhi unaotokea sehemu mbalimbali nchini
Suala la mgawo wa giza
Suala la serikali kuishiwa na kukopa kopa benki za ndani
Mishahara ya waalimu
Migomo vyuoni
Uchakachuaji kwenye Kilimo Kwanza
Ufisadi UDA,Meremeta,EPA n.k
Mgawanyiko ndani ya chama cha magamba (CCM)
Malipo duni kwa polisi na wanajeshi
Ukosefu wa ajira kwa vijana
Kuwagawanya watanzania kwa kutumia propaganda za UDINI
Uchakachuaji wa kura uliofanywa kwenye uchaguzi wa mwaka jana
Mfumuko wa bei usio dhibitiwa huku gharama za maisha zikipanda kila uchao
Matumizi mabaya ya fedha za wahisani
NB; kwa kifupi serikali dhaifu ya sasa imeshachukiza kila kundi lililopo ndani ya taifa ili, na watu wapo standby kusubiri Amri ya mwenye kujitolea kumfunga paka kengele.