Haijapata kutokea---- Thomas Nyimbo avunja ngome ya CCM, aweka rekodi

aisee mpeni vyeo basi jamani aziidishe imani kwa chama

Anachofanya Nyimbo ni kikubwa sana na ndo kinastahili. Reward yake sidhani kama ni kupewa cheo ndani ya chama bali kuungwa mkono kwa jitihada zake kwa kupewa vifaa zaidi kama bendera,katiba nk kwa ajili ya kuelimisha wananchi zaidi na pia aigwe na wote wanaopenda mabadiliko kwa kufanya the same katika vijiji/maeneo yao
 
Nilichukua kwa Nape Nnauye Mkuu, ndio hali halisi

Hah hah hah! wameshindwa kuvuana magamba hao sasa hivi kijana anakula bata kwa Obama baada ya kuona kuna uwezokano wa kupigwa chini amekimbilia huko kula vya mwisho mwisho
 
attachment.php
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Yeye alisema yupo tayari kuwa Mlezi wa Chama wa Mkoa mpya wa Njombe so na hataki mkuwa kwenye ngazi yoyote ya maamuzi ila kushikiri kujenga Chama. Mpaka sasa amenunua pikpiki 8 kwa ajili ya uenezi katika Wilaya mpya ya Wanging'ombe na ameshagharimia safari za waenezi walioenda hadi Ludewa na Makete. Huyu Mzee ni mfano wa kuigwa sana

then, we realy need such commited people
 
kha viva nyimbo! hata mie nimetoka kuwaachia hamsa Chadema Dodoma kwa ajili ya kuandaa mkutano wa leo!
 
Viongozi wa wilaya zingine ikiwemo Karatu, Hai, Arusha mjini, Moshi Mjini, Rombo, Maswa, Nyamagana, Ilemela waige mfano huu. Ni heshima kwa chama kuwa na ofisi yake. Viva Nyimbo
 
Hongera Nyimbo na hongera mleta hii thread,tushikamane wote wapenda maendeleo na mabadiliko ya kweli,maana tusipojipanga hawa jamaa wataendelea kuchota kila kinachotokea machoni pao na wataendelea na kuminya haki na demokresia ya kweli.
Hongera sana Nyimbo.hongera wote wenye mawazo tu ya kuleta mabadiliko kwa kukataa ukandamizaji wa magamba.
 
  • Thanks
Reactions: PEA
Njombe inahitaji vijana makini wenye uchungu wa maendeleo,katika tafiti zangu ,wasomi wengi waliozaliwa Njombe wamekuwa wachapakazi wazuri katika sekta mbalimbali lakini wanajitenga,wabinafsi,pia hawapendi kujionyesha kama wanaNjombe wanapokuwa maofisini.Itachukua muda sana kujitambulisha kama ni mzawa wa Njombe. Umoja wetu ni muhimu sana katika kuijenga Njombe mpya ambayo ni mkoa mchanga lakini wenye utajiri wakutosha........RAI yangu kwa wasomi wote wa Njombe,tuungane na tuweke itikadi zetu za kisiasa pembeni ili tujenge uchumi wetu ambao bado hajaimarika katika jamii nzima.Wazee wote waliopata nafasi ya kuongoza katika serikali lakini wameshindwa kuisaidia Kuisaidia NJOMBE wasipewe nafasi ya kisiasa,kwani wanakuwa wamechoka kifikira,mfano mzuri NYIMBO ameongoza NJOMBE MAGH kwa miaka 10 lakini hakufanya jambo lolote la kujivunia zaidi ya kujenga FITINA wakati wa KEVELA(YONA)....LEO hii mtu unasimama kwenye page yetu JF ,unasifia ati amejenga ofisi nzuri....jamani hizo ofisi au vyoooooooooooooo........angejenga zahanati au shule za awali.....kwenye vijiji duni kama Lugoda,Ikwega,Matowo.nk...hapo tungempongeza.Sasa anatamani arudi mjengoni kwani amechoka sana,anawateka wanaNJOMBE ili mfanye makosa tena ili arudie enzi zake za matusi na dharau kwa wananchi.....hanatofauti na Magamba ya CCM.......uliza DK.SLAA atakwambia ukweli wake.


Vijana wa NJOMBE tusilalamike,tujitokeze kuokoa jahazi........Sitarajii kuona tukiongozwa na watu wenye uchu wa madaraka badala ya maendeleo.
 
Mkuuu isijekuwa kuwa ofisi ya mkuu wa wilaya hapo.
Au ni madarasa ya International school.
Hiii kiboko himenikumbusha Mbunge aliyeangushwa mwanza ndg masha kukimbia na fenicha je anaweza kujenga kitu kama hiki.????/
 
Kwa mila na desturi za wananchi wa mkoa wa Njombe sasa CCM inatakiwa ingolewe kabisa, kwani imekosa muelekeo na kukumbatia ufisadi. Kama upinzani ungekuwepo wakati ule baba (Tunte) angechukua ubunge kupitia upinzania. Bado kidogo mkoa wanjombe utaizidi Arusha.
maneno matamu halafu yanaleta raha ndani ya roho.
 
Njombe inahitaji vijana makini wenye uchungu wa maendeleo,katika tafiti zangu ,wasomi wengi waliozaliwa Njombe wamekuwa wachapakazi wazuri katika sekta mbalimbali lakini wanajitenga,wabinafsi,pia hawapendi kujionyesha kama wanaNjombe wanapokuwa maofisini.Itachukua muda sana kujitambulisha kama ni mzawa wa Njombe. Umoja wetu ni muhimu sana katika kuijenga Njombe mpya ambayo ni mkoa mchanga lakini wenye utajiri wakutosha........RAI yangu kwa wasomi wote wa Njombe,tuungane na tuweke itikadi zetu za kisiasa pembeni ili tujenge uchumi wetu ambao bado hajaimarika katika jamii nzima.Wazee wote waliopata nafasi ya kuongoza katika serikali lakini wameshindwa kuisaidia Kuisaidia NJOMBE wasipewe nafasi ya kisiasa,kwani wanakuwa wamechoka kifikira,mfano mzuri NYIMBO ameongoza NJOMBE MAGH kwa miaka 10 lakini hakufanya jambo lolote la kujivunia zaidi ya kujenga FITINA wakati wa KEVELA(YONA)....LEO hii mtu unasimama kwenye page yetu JF ,unasifia ati amejenga ofisi nzuri....jamani hizo ofisi au vyoooooooooooooo........angejenga zahanati au shule za awali.....kwenye vijiji duni kama Lugoda,Ikwega,Matowo.nk...hapo tungempongeza.Sasa anatamani arudi mjengoni kwani amechoka sana,anawateka wanaNJOMBE ili mfanye makosa tena ili arudie enzi zake za matusi na dharau kwa wananchi.....hanatofauti na Magamba ya CCM.......uliza DK.SLAA atakwambia ukweli wake.


Vijana tujitokeze kuokoa jahazi........Sitarajii kuona tukiongozwa na watu wenye uchu wa madaraka badala ya maendeleo.

Kaka unacho ki sema una uhakika?? Una jua kipindi ambapo yupo madarakani ka fanya ma ngapi?? Hebu wa ulize watu wa ilembula, makambako, wanging'ombe n.k jinsi wanavyo mkumbuka na ina onekana wewe ni gamba coz kama mwana ma pinduzi sudhani kama unge mpinga nyimbo coz mbaka sasa hivi ana tumia hela yake kuijenga chadema. Viva nyimbo viva chadema
 
yule mama wa mjengoni na filikunjombe wakiiona hii hawakawii kupelekwa appolo

mkuu nilikumiss sana.
Kwa Thomas Nyimbo pale tuna mtu kumuamini.
Kushindwa kwake hadi jw iliingilia kati, nina mzee wangu kule alikuwa ananipa data.
 
Yeye alisema yupo tayari kuwa Mlezi wa Chama wa Mkoa mpya wa Njombe so na hataki mkuwa kwenye ngazi yoyote ya maamuzi ila kushikiri kujenga Chama. Mpaka sasa amenunua pikpiki 8 kwa ajili ya uenezi katika Wilaya mpya ya Wanging'ombe na ameshagharimia safari za waenezi walioenda hadi Ludewa na Makete. Huyu Mzee ni mfano wa kuigwa sana

Safi sana kwa taarifa mkuu, nimeipenda sana hii!
 
Njombe inahitaji vijana makini wenye uchungu wa maendeleo,katika tafiti zangu ,wasomi wengi waliozaliwa Njombe wamekuwa wachapakazi wazuri katika sekta mbalimbali lakini wanajitenga,wabinafsi,pia hawapendi kujionyesha kama wanaNjombe wanapokuwa maofisini.Itachukua muda sana kujitambulisha kama ni mzawa wa Njombe. Umoja wetu ni muhimu sana katika kuijenga Njombe mpya ambayo ni mkoa mchanga lakini wenye utajiri wakutosha........RAI yangu kwa wasomi wote wa Njombe,tuungane na tuweke itikadi zetu za kisiasa pembeni ili tujenge uchumi wetu ambao bado hajaimarika katika jamii nzima.Wazee wote waliopata nafasi ya kuongoza katika serikali lakini wameshindwa kuisaidia Kuisaidia NJOMBE wasipewe nafasi ya kisiasa,kwani wanakuwa wamechoka kifikira,mfano mzuri NYIMBO ameongoza NJOMBE MAGH kwa miaka 10 lakini hakufanya jambo lolote la kujivunia zaidi ya kujenga FITINA wakati wa KEVELA(YONA)....LEO hii mtu unasimama kwenye page yetu JF ,unasifia ati amejenga ofisi nzuri....jamani hizo ofisi au vyoooooooooooooo........angejenga zahanati au shule za awali.....kwenye vijiji duni kama Lugoda,Ikwega,Matowo.nk...hapo tungempongeza.Sasa anatamani arudi mjengoni kwani amechoka sana,anawateka wanaNJOMBE ili mfanye makosa tena ili arudie enzi zake za matusi na dharau kwa wananchi.....hanatofauti na Magamba ya CCM.......uliza DK.SLAA atakwambia ukweli wake.


Vijana tujitokeze kuokoa jahazi........Sitarajii kuona tukiongozwa na watu wenye uchu wa madaraka badala ya maendeleo.

Kaka unacho ki sema una uhakika?? Una jua kipindi ambapo yupo madarakani ka fanya ma ngapi?? Hebu wa ulize watu wa ilembula, makambako, wanging'ombe n.k jinsi wanavyo mkumbuka na ina onekana wewe ni gamba coz kama mwana ma pinduzi sudhani kama unge mpinga nyimbo coz mbaka sasa hivi ana tumia hela yake kuijenga chadema. Viva nyimbo viva chadema
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Njombe inahitaji vijana makini wenye uchungu wa maendeleo,katika tafiti zangu ,wasomi wengi waliozaliwa Njombe wamekuwa wachapakazi wazuri katika sekta mbalimbali lakini wanajitenga,wabinafsi,pia hawapendi kujionyesha kama wanaNjombe wanapokuwa maofisini.Itachukua muda sana kujitambulisha kama ni mzawa wa Njombe. Umoja wetu ni muhimu sana katika kuijenga Njombe mpya ambayo ni mkoa mchanga lakini wenye utajiri wakutosha........RAI yangu kwa wasomi wote wa Njombe,tuungane na tuweke itikadi zetu za kisiasa pembeni ili tujenge uchumi wetu ambao bado hajaimarika katika jamii nzima.Wazee wote waliopata nafasi ya kuongoza katika serikali lakini wameshindwa kuisaidia Kuisaidia NJOMBE wasipewe nafasi ya kisiasa,kwani wanakuwa wamechoka kifikira,mfano mzuri NYIMBO ameongoza NJOMBE MAGH kwa miaka 10 lakini hakufanya jambo lolote la kujivunia zaidi ya kujenga FITINA wakati wa KEVELA(YONA)....LEO hii mtu unasimama kwenye page yetu JF ,unasifia ati amejenga ofisi nzuri....jamani hizo ofisi au vyoooooooooooooo........angejenga zahanati au shule za awali.....kwenye vijiji duni kama Lugoda,Ikwega,Matowo.nk...hapo tungempongeza.Sasa anatamani arudi mjengoni kwani amechoka sana,anawateka wanaNJOMBE ili mfanye makosa tena ili arudie enzi zake za matusi na dharau kwa wananchi.....hanatofauti na Magamba ya CCM.......uliza DK.SLAA atakwambia ukweli wake.


Vijana wa NJOMBE tusilalamike,tujitokeze kuokoa jahazi........Sitarajii kuona tukiongozwa na watu wenye uchu wa madaraka badala ya maendeleo.
Wewe una matatizo makuwa sana ndugu yangu. Ungekuwa na nia nzuri ungekubali tu kwamba hiyo ni ofisi hata kama hupendi na sio choo. By the way hata choo kina umuhimu sana. Yaelekea wewe unaendeshwa sana na ushabiki. Mimi nimezaliwa na kukulia kwenye hivyo vijiji unavyovitaja na Nyimbo anaelekeweka kwa kazi aliyoifanya vinginevyo asingemshinda Kevela mwaka jana kwenye kura za maoni. Kwa hiyo kwako wewe ni afadhali kuongozwa na Jah People au Lwenge kuliko Nyimbo? Wake up Brother
 
Duh Haijapata kweli kutokea hata Raisi anayeondoka Madarakani hajawahi kuweza kumtokea
 
Back
Top Bottom