Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Yawezekana ni mmoja wa waathirika wa fani hii, napenda leo kukwambia ndugu kama una cpa yako na bado unaendekeza wizi kwenye kazi zako utaendelea kutokua na maana milele.
Nasema hili nikiimanisha huku wengi wakiendelea kubambwa nisingependa wewe uwe mmja wapo...kila la kheri
Nasema hili nikiimanisha huku wengi wakiendelea kubambwa nisingependa wewe uwe mmja wapo...kila la kheri