Hakika!
Dazipozi= Malaria Sugu!
ilo nalo neno,Mx
pasua kichwa ni mwita25 kwa mbaaaaaali!
hahah. ms bana. walidhani waislam hawataingia JF.
me lov u,MxHuu ni upupu mtupu unaendelea halfu watu kama mwanzisha Thread ni mzigo humu JF, sielewi jamaa anacho andika, halfu dizaini huyu kichwani hazimtoshi bado ana ushamba fulani, mimi namnyaka vizuri sana hapa Zanzibar... kaka umaarufu hauji kihivi jenga hoja na fanya mambo ya msingi utajenga heshima na jina lako humu ndani, naona umeamua kuandika Pumba ili uendelee kujibizana na watu na wewe uonekane thread yako imevuta Kurasa.....
Shule Muhimi Mkuu
Kazi ipo ngoja nikalale mie.