hahahahahaha

buyegirhyme

Member
Oct 6, 2010
9
1
‎"Jamaa mmoja alikuwa ndani ya daladala, Tumbo likaanza kumsumbua coz of gesi. Jamaa akaona bora ajambe kwa kufuata bit la mziki. Kweli Jamaa akajamba kwa kufuata biti la mziki na tumbo likatulia. Alipokuwa akishuka akashangaa kuona watau waliomo kwe ile daladala wakimshangaa kichizi!!!!. Ndipo jamaa akakumbuka kuwa amevaa headphones: Mziki alikuwa akisikiliza mwenyewe tu".... usicheke sana.......G9T.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom