GODLOVEME
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,640
- 493
Gazeti la Mwananchi limepigwa marufuku kuandika mazuri ya CCM, maana leo CCM imeshinda kata 22, wameshindwa kusema hilo badala yake wanaandika CCM IMEPOTEZA VITI VINNE.....tatizo la akili ya kushikiwa........KAMA AMBAVYO VI CDM VITAKAVYOKUJA KUPAMBANA HAPA KUISHAMBULIA THREAD HII....MOODS MSIIUNGANISHE POPOTE TUONGEE KWA UHURU....
JAMANI umeenda vitani na wanajeshi kumi(10) watatu kati kumi wametekwa unarudi na WANAJESHI(7) alafu kepteni unashangilia umeshinda kweli? KAMA VIONGOZI WA TANZANIA WANAWAZA KAMA WEWE UMASIKINI UTAKUWA NYIMBO ZA KILA SIKU sio vicdi kama unavyowaza bali niwatu wanaowaza mbali
:nimekataani sawa na yale mawazo ya jamaa fulani wanaosema mkapa alikula mbona hamkusema sasa hii ni zamu ya kikwete acha nae hale