Hahahaa GAZETI BORA LA MWANANCHI

Akili za kushikiliwa na gundi ya maji tabu sana.....Kabla ya hapo walikuwa na wakishikilia viti vingapi? na jee, baada ya uchaguzi wamepata vitivipya vingapi...i mean CCM na CDM...

Na kama Mwananchi linakukera si mnalo gazeti la wafu uhuru?? Jana si liliandika pia kuwa Nassari (MB) alifyatua risasi daraja mbili??si ndizo habari mnazozitaka? Hujalazimishwa kusoma mwananchi kwani wananchi tupo na tutalisoma hata kama mafisadi hampendi.
Kaseme maneno hayo mbele ya SLAA na MBOWE kama hujapigwa mawe na wana wa Redbrigade. Yaani nguvu yote ile ya M4C, Viongozi wote wa kitaifa kuzungukia kata zote kwa kambeni huku CCM wakisimama majukwaani wagombea wenyewe, mwisho wake wanaibuka na nyongeza ya viti 3 tu, Acha kabisa kuongea wewe, tathmini za kukuwa kisiasa huwa hazipimwi kichovu hivyo.
 
hapana, let us be objective, he has a point!Sio hangover, anasema ukweli ulio wazi. This type of reporting is not that much welcome. mimi naipenda CDM (sio mwanachama) lakini mwananchi inaonyesha bias ya hali ya juu, which is not a good reputation for a respectable newspaper like Mwananchi!

Nadhani watz tuna matatizo ya uelewa. Kama viti vyote vilikuwa chini ya CCM, halafu baada ya uchaguzi CCM wakapoteza viti vinne dhidi ya upinzani, ni nani aliyepata hasara? Ni nani amepata faida? Wewe huoni kuwa hiyo si dalili njema kwa CCM? Je, kuna ubaya gani basi kwa gazeti kuandika kuwa wamepoteza? Kwa taarifa yako, kama unadhani kuwa CCM WAMEWIKA, basi unakosea sana. Wapinzani ndio wame-gain ground.
 
Mnaweweseka sana. Kama msimu uliopita ulivuna gunia 29 katika heka hiyo moja. Msimu huu umevuna gunia 22 kwa heka hiyo hiyo na kwa mbinu za kisasa zaidi. Hapo umefaulu au umefeli. Na yule aliyevuna gunia 2 kwa heka hiyo hiyo msimu uliopita; na msimu huu kavuna gunia 4. Hapo nani kafaulu? ACHENI KUJI-FOOL wenyewe.

Kawaida ya mifano ya IRON BOYS na ndivyo mtakavyoishia hivyo kwa kujifariji, Amkeni mdai na kujua Fedha zote zilizotumika kwenye M4C na Kampeni kama kweli matunda mliyotegemea ndiyo hayo siyo kupumbazwa na faraja za Kijinga huku Chama kikizama. Naamini CDM wangefamikiwa kupata viti 10 zaidi humu JF kusingekalika, sasa mambo yamekwenda ndivyo siyo badala ya kujitafakari mnakuja na faraja wakati wazi wazi mnaonekana machoni mkilengwa lengwa na machozi.
 
Gazeti la Mwananchi limepigwa marufuku kuandika mazuri ya CCM, maana leo CCM imeshinda kata 22, wameshindwa kusema hilo badala yake wanaandika CCM IMEPOTEZA VITI VINNE.....tatizo la akili ya kushikiwa........KAMA AMBAVYO VI CDM VITAKAVYOKUJA KUPAMBANA HAPA KUISHAMBULIA THREAD HII....MOODS MSIIUNGANISHE POPOTE TUONGEE KWA UHURU....

Kwa waandishi aw habari chadema kushinda ni habari kwa kuwa tayari CCM ni chama kikubwa..wao kushinda sio habari....
 
hapana, let us be objective, he has a point!Sio hangover, anasema ukweli ulio wazi. This type of reporting is not that much welcome. mimi naipenda CDM (sio mwanachama) lakini mwananchi inaonyesha bias ya hali ya juu, which is not a good reputation for a respectable newspaper like Mwananchi!
Kati ya CCM na CDM nani kapoteza? Hapa mtu hahitaji akili kujua nani kufiwa na nani watoto wamezaliwa kwake.
 
Nadhani watz tuna matatizo ya uelewa. Kama viti vyote vilikuwa chini ya CCM, halafu baada ya uchaguzi CCM wakapoteza viti vinne dhidi ya upinzani, ni nani aliyepata hasara? Ni nani amepata faida? Wewe huoni kuwa hiyo si dalili njema kwa CCM? Je, kuna ubaya gani basi kwa gazeti kuandika kuwa wamepoteza? Kwa taarifa yako, kama unadhani kuwa CCM WAMEWIKA, basi unakosea sana. Wapinzani ndio wame-gain ground.

Hebu tusahau kidogo kuhusu ratio kati matokeo ya CCM na CDM kwa vile tunapoteza muda tu CDM wamechemka. Hivi nguvu yote ile M4C bado tunajadili na kupoteza muda humu JF. Let them die while they are moving.
 
Gazeti la Mwananchi limepigwa marufuku kuandika mazuri ya CCM, maana leo CCM imeshinda kata 22, wameshindwa kusema hilo badala yake wanaandika CCM IMEPOTEZA VITI VINNE.....tatizo la akili ya kushikiwa........KAMA AMBAVYO VI CDM VITAKAVYOKUJA KUPAMBANA HAPA KUISHAMBULIA THREAD HII....MOODS MSIIUNGANISHE POPOTE TUONGEE KWA UHURU....

Hayo maeneo ambako CCM imeshinda yalikuwa yanashikiliwa na chama gani kwanza jiulize na utafakari ndipo useme.Maeneo yote yalikuwa yanashikiliwa na CCM sasa kama upinzani wameweza hata kuchukua viti 4 au 5 kwa mtazamo wa kitaalamu CCM imepoteza. Na hii si dalili nzuri kwa chama chako ndugu,mmeanza kupoteza imani kwa wananchi.Mmmeanza kuchokwa jaman!!!!!!!
 
hapana, let us be objective, he has a point!Sio hangover, anasema ukweli ulio wazi. This type of reporting is not that much welcome. mimi naipenda CDM (sio mwanachama) lakini mwananchi inaonyesha bias ya hali ya juu, which is not a good reputation for a respectable newspaper like Mwananchi!

Magazeti yote hayawezi kuandika habari ya aina moja na yakapendwa!Mbona hujasema kuwa mwananchi haijasifu TLP na CUF kwa kupata viti!Kichwa kinauza gazeti na habari bora husomwa sana kama in kichwa kizuri!Kasome content utakuta viti 22 vya CCM!Lkn ni ukweli kuwa CCM imepoteza viti vinne!Ni maendeleo kwa upinzani lkn hayatoshi kuitia mashaka CCM kwanin kama mambo yataendelea kuwa hivi basi itashinda tena 2015!
 
mnaweweseka sana. Kama msimu uliopita ulivuna gunia 29 katika heka hiyo moja. Msimu huu umevuna gunia 22 kwa heka hiyo hiyo na kwa mbinu za kisasa zaidi. Hapo umefaulu au umefeli. Na yule aliyevuna gunia 2 kwa heka hiyo hiyo msimu uliopita; na msimu huu kavuna gunia 4. Hapo nani kafaulu? Acheni kuji-fool wenyewe.

kweli haya majamaa ni magamba
 
mtoa thread inaelekea hujui kabisa tasnia nzima au taaaluma ya habari ndio maana umeandika ukichoandika

katika tukio lote hili la uchaguzi, habari kubwa ya yenye uzito NI CCM kupoteza viti 4, tena kwa wapinzani wake wakuu. Wakati huohuo 'watani' wao hawajapoteza hata kiti kimoja na pengine margin ya kura imekuwa ndogo.This is really big thing, newsworthy. Na kwa CDM hayo ni mafanikio makubwa sana na wala hakuna sababu ya kukata tamaa.

katika hili Mwananchi wako right and very professional. Nawapongeza sana hasa timu ya wahariri waliokuja na heading or lead story yenye kichwa cha habari kama hicho

salute
 
Nadhani watz tuna matatizo ya uelewa. Kama viti vyote vilikuwa chini ya CCM, halafu baada ya uchaguzi CCM wakapoteza viti vinne dhidi ya upinzani, ni nani aliyepata hasara? Ni nani amepata faida? Wewe huoni kuwa hiyo si dalili njema kwa CCM? Je, kuna ubaya gani basi kwa gazeti kuandika kuwa wamepoteza? Kwa taarifa yako, kama unadhani kuwa CCM WAMEWIKA, basi unakosea sana. Wapinzani ndio wame-gain ground.

Gain ground so what? Tunataka ujihakikishie ushindi 2015, sio ku-gain ground!
 
Nawapongeza sana makamanda naomba waongeze nguvu vijijini mikoa ya iringa,njombe,mbeya,rukwa,ruvuma. Maana nimeangalia matokeo kata ya usililo/makete ccm imepata kura 600 /40 cdm. Naomba M4C ishuke vijijini ikatoe elimu kwa wananchi wengi hawajui nini maana ya vyama vingi.
 
Gazeti la Mwananchi limepigwa marufuku kuandika mazuri ya CCM, maana leo CCM imeshinda kata 22, wameshindwa kusema hilo badala yake wanaandika CCM IMEPOTEZA VITI VINNE.....tatizo la akili ya kushikiwa........KAMA AMBAVYO VI CDM VITAKAVYOKUJA KUPAMBANA HAPA KUISHAMBULIA THREAD HII....MOODS MSIIUNGANISHE POPOTE TUONGEE KWA UHURU....

MOODS ndo nini kwanza..
 
Gazeti la Mwananchi
limepigwa marufuku kuandika mazuri ya CCM, maana leo CCM imeshinda kata
22, wameshindwa kusema hilo badala yake wanaandika CCM IMEPOTEZA VITI
VINNE.....tatizo la akili ya kushikiwa........KAMA AMBAVYO VI CDM
VITAKAVYOKUJA KUPAMBANA HAPA KUISHAMBULIA THREAD HII....MOODS
MSIIUNGANISHE POPOTE TUONGEE KWA UHURU....

wewe ulitaka waandikeje? style za kuandika ziko nyingi, mwananchi waliona waje kihivyo unawapangia? think big mkuu, ufaidike
 
Kawaida ya mifano ya IRON
BOYS na ndivyo mtakavyoishia hivyo kwa kujifariji, Amkeni mdai na kujua
Fedha zote zilizotumika kwenye M4C na Kampeni kama kweli matunda
mliyotegemea ndiyo hayo siyo kupumbazwa na faraja za Kijinga huku Chama
kikizama. Naamini CDM wangefamikiwa kupata viti 10 zaidi humu JF
kusingekalika, sasa mambo yamekwenda ndivyo siyo badala ya kujitafakari
mnakuja na faraja wakati wazi wazi mnaonekana machoni mkilengwa lengwa
na machozi.

ukiangalia gharama ndugu yangu utashindwa hata kuhudumia familia yako! angalia faida itokanayo na hiyo gharama. kwa siasa zetu za Africa kukishinda chama tawala kunahitaji gharama
 
Back
Top Bottom