huduma iliyoletwa na tiGO ya kutumia Facebook bila internet kwenye simu yako kwa kupiga *148*01*4*2#...naona mizinguo tu maana kila unapojaribu ingia kwenye akaunti yako wanakuambia "system busy"....naona bora waisitishe tu!
huduma iliyoletwa na tiGO ya kutumia Facebook bila internet kwenye simu
yako kwa kupiga *148*01*4*2#...naona mizinguo tu maana kila unapojaribu
ingia kwenye akaunti yako wanakuambia "system busy"....naona bora
waisitishe tu!
bonge la huduma,hata simu yng ya tochi itafunction,ha ha ha ah,tech ni noma aiseeee,but nafikiri baadhi ya features kama picha nn kwa cm kama za tochi hazitaweza kudisplay
mm yamenikuta, tena ukijaribu zaidi wanakwambia andika e-mail yako au jina unalotumia ktk facebook sijui tunaenda wapi hii technology itatumaliza maana ipo itakayosaidia au kutumaliza km Bahrain au Yemen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.