de'levis
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,222
- 1,567
Hafla ya kupongezana juu ya kilichotokea jana huko Dodoma imekwisha na sasa kinachoendelea ni kikao cha hatua ya pili ya kukabiliana na mvutano uliopo bungeni miongoni mwa wabunge wenyewe na kuhakikisha baadhi ya wabunge wanadhibitiwa na hawapewi nafasi kusema kile kitakachoonekana kutibua na kuharibu hatua iliyofikiwa(ushindi wa jana) . Maagizo maalumu yametumwa Dodoma kwa spika wa bunge juu ya hatua za kuchukua kwa wabunge walioko katika kamati zinazotuhumiwa kupokea rushwa .
PUMA energy ni kampuni inayomilikiwa na kiongozi mmoja aliyeko serikalini (si kiongozi mdogo) akishirikiana na wenzake 3 wenye hisa katika kampuni hiyo. na si kweli kwamba Serikali ina hisa asilimia 50!!!.
Nitaishia hapa leo na nitasubiri iwapo spika makinda atayatekeleza maagizo yaliyokwenda kwake...
PUMA energy ni kampuni inayomilikiwa na kiongozi mmoja aliyeko serikalini (si kiongozi mdogo) akishirikiana na wenzake 3 wenye hisa katika kampuni hiyo. na si kweli kwamba Serikali ina hisa asilimia 50!!!.
Nitaishia hapa leo na nitasubiri iwapo spika makinda atayatekeleza maagizo yaliyokwenda kwake...