Double K
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 907
- 340
inakuwaje mwanaume anashindwa kuelewa hisia za mpezi wake, yani huyo mvulana anajifurahisha mwenyewe mkiwa katika tendo lile, unamuonyesha kila dalili kwamba hujaridhika ila bado, unaongea kwa mifano wapi hata unashindwa kumuelewa kwakweli, ukimwambia hata haelewi kabisaaa. YANI IN SHORT HANA ANY KNOWLEDGE ABOUT WOMEN, hata ukimwambia nipo in danger days kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na mimba ilikuwa ni topic ilibidi nianze kumfundisha ila ikifika tena siku nyingine kasahau heeeee!!!!!!!!!!!!! kuna siku nilimuuliza kama biology ya form three walikuwa na mwl au la (NISAIDIENI JINSI YA KUMWAMBIA ANIELEWE)
Pia caring hana anakuona sijui kama yeye, jamani its not like wanawake tunapenda zawadi ila hata once in a year hata kwenye birthday yako lol!! unashindwa umwambieje, ukimwambia kutoka anakwambia bado tuna mambo mengi ya kujiandaa nayo kimaisha pia uko kwenu sio vzr utoke usiku, yani anaogopa kuliko hata wewe na wazazi wako sijui ni caring au hataki. nyumbani ndio hataki kufika ila yeye kutwa kunitambulisha kwa ndugu zake, ukitoka na rafiki zako anataka uwambie two days before au ndio atanuna mbaka basi, ufanyeje.
Pia caring hana anakuona sijui kama yeye, jamani its not like wanawake tunapenda zawadi ila hata once in a year hata kwenye birthday yako lol!! unashindwa umwambieje, ukimwambia kutoka anakwambia bado tuna mambo mengi ya kujiandaa nayo kimaisha pia uko kwenu sio vzr utoke usiku, yani anaogopa kuliko hata wewe na wazazi wako sijui ni caring au hataki. nyumbani ndio hataki kufika ila yeye kutwa kunitambulisha kwa ndugu zake, ukitoka na rafiki zako anataka uwambie two days before au ndio atanuna mbaka basi, ufanyeje.