Haelewi

Double K

JF-Expert Member
Aug 1, 2012
907
340
inakuwaje mwanaume anashindwa kuelewa hisia za mpezi wake, yani huyo mvulana anajifurahisha mwenyewe mkiwa katika tendo lile, unamuonyesha kila dalili kwamba hujaridhika ila bado, unaongea kwa mifano wapi hata unashindwa kumuelewa kwakweli, ukimwambia hata haelewi kabisaaa. YANI IN SHORT HANA ANY KNOWLEDGE ABOUT WOMEN, hata ukimwambia nipo in danger days kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na mimba ilikuwa ni topic ilibidi nianze kumfundisha ila ikifika tena siku nyingine kasahau heeeee!!!!!!!!!!!!! kuna siku nilimuuliza kama biology ya form three walikuwa na mwl au la (NISAIDIENI JINSI YA KUMWAMBIA ANIELEWE)

Pia caring hana anakuona sijui kama yeye, jamani its not like wanawake tunapenda zawadi ila hata once in a year hata kwenye birthday yako lol!! unashindwa umwambieje, ukimwambia kutoka anakwambia bado tuna mambo mengi ya kujiandaa nayo kimaisha pia uko kwenu sio vzr utoke usiku, yani anaogopa kuliko hata wewe na wazazi wako sijui ni caring au hataki. nyumbani ndio hataki kufika ila yeye kutwa kunitambulisha kwa ndugu zake, ukitoka na rafiki zako anataka uwambie two days before au ndio atanuna mbaka basi, ufanyeje.
 
Ukiona manyoa?kama anajua kufungua zipu anajua vyote anavyotakiwa kufanyiwa mwanamke anakuyeyusha hamia airtel
 
inakuwaje mwanaume anashindwa kuelewa hisia za mpezi wake, yani huyo mvulana anajifurahisha mwenyewe mkiwa katika tendo lile, unamuonyesha kila dalili kwamba hujaridhika ila bado, unaongea kwa mifano wapi hata unashindwa kumuelewa kwakweli, ukimwambia hata haelewi kabisaaa. YANI IN SHORT HANA ANY KNOWLEDGE ABOUT WOMEN, hata ukimwambia nipo in danger days kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na mimba ilikuwa ni topic ilibidi nianze kumfundisha ila ikifika tena siku nyingine kasahau heeeee!!!!!!!!!!!!! kuna siku nilimuuliza kama biology ya form three walikuwa na mwl au la (NISAIDIENI JINSI YA KUMWAMBIA ANIELEWE)

Pia caring hana anakuona sijui kama yeye, jamani its not like wanawake tunapenda zawadi ila hata once in a year hata kwenye birthday yako lol!! unashindwa umwambieje, ukimwambia kutoka anakwambia bado tuna mambo mengi ya kujiandaa nayo kimaisha pia uko kwenu sio vzr utoke usiku, yani anaogopa kuliko hata wewe na wazazi wako sijui ni caring au hataki. nyumbani ndio hataki kufika ila yeye kutwa kunitambulisha kwa ndugu zake, ukitoka na rafiki zako anataka uwambie two days before au ndio atanuna mbaka basi, ufanyeje.

Ni pm nikuambie kitu or see me here jimmyromi@yahoo.com
 
Yumo humu, tukusaidie kumfunda?
Kama hayumo mtambulishe kwa JF ili magwiji wa humu wamfunde how to please a girl chumbani na maishani!
 
Na hata ukiangalia siku ambayo alijiunga na JF ni jana uvumilivu utakuwa hafifu.

sio kwamba kujiunga jana ndio mambo yote yametokea jana, yapo sema I never had a chance kusema, am expecting you mnisaidie.
 
Tatizo umekuwa kama unamwambia mtu specific..
Yaani hauonyeshi nini kinakukwaza..
Hebu funguka zaidi usaidiwe bibie...
 
Yumo humu, tukusaidie kumfunda?
Kama hayumo mtambulishe kwa JF ili magwiji wa humu wamfunde how to please a girl chumbani na maishani!
Kaunga unaishi wapi...........mjini hapa wewe shangaa........stuka
 
Last edited by a moderator:
Yumo humu, tukusaidie kumfunda?
Kama hayumo mtambulishe kwa JF ili magwiji wa humu wamfunde how to please a girl chumbani na maishani!

yani yeye social networking mmmmm nitajitahidi ila sitaki ajue niko humu maana ndio atanisema mpaka, fb yenyewe alinilazimisha nifunge account ila nikakataa nikasema kama haniamini basi.
 
Jana kaja na habari ya yeye na b/f wake wa kikurya........

Mimi ni msichana nina 26 years, nina boyfriend wangu tumeanzana tokea chuo lakini huwa haonekani kunijali ananitafuta akiwa na shida zake za............, nilimsemaga akajirekebisha kidogo, badae tukawa tunaongelea mipango ya ndoa na akasema ataenda kuongea kwao, alirudi ananiambia kwamba mama yake anataka mtu wa kabila lake (mkurya) lakini anasema yeye ananipenda nisihofu nisubirie labda mama yake atabadilika. msimamo wake kutwa ni visingizio mama anaumwa, sijui kazi anatoka usiku, simu yenyewe napigiwa jumamosi akiwa na shida hata sielewi na ananigagania eti nisimwache na hataki hata niwe na mtu ananifatilia kweli. naombeni ushauri je huyu mtu ananipenda hajui kuonyesha mapenzi au ananipotezea mda, na suala la mama kweli anaweza kubadilika au changa la macho?

Kabla ya ushauri aliopewa haujamuingia kichwani........kampa K na kuanza malalamiko
 
inakuwaje mwanaume anashindwa kuelewa hisia za mpezi wake, yani huyo mvulana anajifurahisha mwenyewe mkiwa katika tendo lile, unamuonyesha kila dalili kwamba hujaridhika ila bado, unaongea kwa mifano wapi hata unashindwa kumuelewa kwakweli, ukimwambia hata haelewi kabisaaa. YANI IN SHORT HANA ANY KNOWLEDGE ABOUT WOMEN, hata ukimwambia nipo in danger days kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na mimba ilikuwa ni topic ilibidi nianze kumfundisha ila ikifika tena siku nyingine kasahau heeeee!!!!!!!!!!!!! kuna siku nilimuuliza kama biology ya form three walikuwa na mwl au la (NISAIDIENI JINSI YA KUMWAMBIA ANIELEWE)

Pia caring hana anakuona sijui kama yeye, jamani its not like wanawake tunapenda zawadi ila hata once in a year hata kwenye birthday yako lol!! unashindwa umwambieje, ukimwambia kutoka anakwambia bado tuna mambo mengi ya kujiandaa nayo kimaisha pia uko kwenu sio vzr utoke usiku, yani anaogopa kuliko hata wewe na wazazi wako sijui ni caring au hataki. nyumbani ndio hataki kufika ila yeye kutwa kunitambulisha kwa ndugu zake, ukitoka na rafiki zako anataka uwambie two days before au ndio atanuna mbaka basi, ufanyeje.

Hello bidada kwanza sikiliza kwa makini, hapo kwenye bold hapo ni kwa nini uongee kwa mifano? mpenzi wako ni bubu? kuwa wazi mwambie ukinifanyia hivi na vile naridhika sana dear.madam wewe unauelewa basi muelemishe. pili wakati mpo kwenye mahusiano ni lazima kila mtu ajue mwenzake anapenda nini na nini hataki.mwambie unapenda zawadi ikifika siku ya birthday yako tena kwa upole na kutumia lugha nzuri. kuhusu rafiki zako unatoka nao kwenda wapi? barget ya bf wako unatoka na marafiki zako? je humhurumii kwa hayo matumizi mabaya wewe na rafiki zako? nafikiri mpenzi wako kama utaona utakuwa na uchungu kuhusu hela yake atakupenda sana. toka wewe na yeye tu.
 
Double K inatakiwa uweke wazi hisia zako kwa mwenzio usisubiri mpaka mwenzio apige ramli kujua hisia zako hata kama unapendea kuliwa kuku mtamu unaweka wazi tu mwenzio anafaidi mpaka mifupa.
 
Last edited by a moderator:
kama unampenda na unaamini yeye anakupenda zungumza nae haya mambo mbona yanaongeleka kabisa, kila mtu ana mapungufu yake na hakuna mwanadamu aliyekamilika, na ukiona wewe na yeye hamuende kwenye misimamo iliyosawa kwenu wote bora muishiane kwa amani kuliko kupotezeana muda.
 
Embu shusha hilo zigo Shosti, hamia Airtel kama ulivyoambiwa, huko network inazingua, unajichosha bure na kujiumiza akili yako, kwa kuwa na mtu kama huyo
inakuwaje mwanaume anashindwa kuelewa hisia za mpezi wake, yani huyo mvulana anajifurahisha mwenyewe mkiwa katika tendo lile, unamuonyesha kila dalili kwamba hujaridhika ila bado, unaongea kwa mifano wapi hata unashindwa kumuelewa kwakweli, ukimwambia hata haelewi kabisaaa. YANI IN SHORT HANA ANY KNOWLEDGE ABOUT WOMEN, hata ukimwambia nipo in danger days kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na mimba ilikuwa ni topic ilibidi nianze kumfundisha ila ikifika tena siku nyingine kasahau heeeee!!!!!!!!!!!!! kuna siku nilimuuliza kama biology ya form three walikuwa na mwl au la (NISAIDIENI JINSI YA KUMWAMBIA ANIELEWE)

Pia caring hana anakuona sijui kama yeye, jamani its not like wanawake tunapenda zawadi ila hata once in a year hata kwenye birthday yako lol!! unashindwa umwambieje, ukimwambia kutoka anakwambia bado tuna mambo mengi ya kujiandaa nayo kimaisha pia uko kwenu sio vzr utoke usiku, yani anaogopa kuliko hata wewe na wazazi wako sijui ni caring au hataki. nyumbani ndio hataki kufika ila yeye kutwa kunitambulisha kwa ndugu zake, ukitoka na rafiki zako anataka uwambie two days before au ndio atanuna mbaka basi, ufanyeje.
 
Hebu jaribu kumwambia hisia zako ya kwamba una hitaji care kutoka kwake, una hitaji mapenzi ya kweli kutoka kwake, yeye ni muhimu kwako, huna mwana ume unaye muhitaji zaidi yake, huna wakutoka naye zaidi yake, huna wakukubembeleza zaidi yake, huna mwanaume wa kumpa penzi zaidi yake na nipeke yake!

Nafikiri kufunguka kutakusaidia kwa huyo boy wako. Tafuta njia ya kufikisha ujumbe vizuri kwa lugha nzuri na tamu itakayo mfanya abadilike!

Funguka!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom