hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
hivi nyinyi ni ma tigo nini??? Yaani mmekaa kiumbea umbea tu!!! Sasa sera zimewaishia? Mumefanya issue ya hadija kopa kuwa ndo sera zenu?
Munalalamika tuuuu! Mbona yule mgombea wenu wa chadema pale Temeke nae kamtukana Mheshimiwa Rais wa jamhuri ya Muungano matusi ya nguoni? Sasa si ni jino kwa jino?
Munamdhalilisha Rais wa tanzania kwa kumpakazia kuwa Hadija Kopa ni hawara wake!! Lakini nyinyi mukiambiwa Slaa kanyakuwa mke wa mtu na kulala nae guest huko mwanza mpaka mungu akamuadhiri kwa kumvunja mkono bafuni munalia!!!
Hata kama nyinyi ni wapinzani wa JK si utamaduni wetu wa TZ kumtukana Rais alieko madarakani na kumvunjia heshima maana mila na desturi zetu haziruhusu matusi!!!
Sasa madhali JF mumeshaanza pia kuwatusi akina Mama wa Tanzania basi muwe tayari kukubali matusi yetu na kura tutampa kiongozi mwenye heshima alie na mke wa halali na wala sio mke wa kuokoteza!!!
You couldn't get a clue during clue mating season in a field of clues if you
smeared your body in musk and did the clue mating dance.