Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,746
hivi jeikei analalama saana ametukanwa tusi gani???Kwani huyo slaa katukanwa tusi gani hasa?
yeye ni mkuu wanchi hivyo kwa nini unadhani vyombo vya dola vimekaa pembeni havimsaidii?
mtikila yupo mahakamani kwa kmtukana na uchochezi.
acheni ujuha (kwa mujibu wa jeikei)