Elections 2010 Hadi sasa Slaa anaongoza akifuatiwa kwa mbali na Kikwete (Polls) DailyNews

Latest News

Jakaya Kikwete - CCM 45 votes. (17.79 %)

Dr Wilbroad Slaa – CHADEMA 194 votes. (76.68 %)

Ibrahim Lipumba - CUF 5 votes. (1.98 %)

Richard Kiyabo - National Reconstruction Alliance 5 votes. (1.98 %)

Total votes: 253
 
Mh bado kuamini hii kitu. Ziliendeshwa vipi hizi polls? Still hakuna kulala mpaka waanguke jumla hawa
 
These polls does not reflect elections, as voters are few, have a concentrations of only internet users, which we all know is minor as compared to the nearly 10millions voters registered this time.

Cha msingi, CHADEMA pamoja na kuandaa mikakati mizuri, pia wajiandae na plan B kuayakabili matendo kama wizi wa kura, vitisha, ukandamizaji etc. Fanyeni kama uchaguzi tarime, jinsi wananchi walivyoonyesha ujasiri kuchunga vituo, no ones inn or out after polls. You should have some one leading your tactical team; which thinks and simulates all technics which have been used by CCM previously.
 
Hiyo post yako ina mushkeli. Una maana wapinzani hawakusimamisha mtu nafasi ya ubunge wala udiwani jimbo zima? Mhhh! Tutajie hilo jimbo tukushike ugoni.
Majimbo 16 yenye wabunge tayari na madiwani karibu 400 na ushee (bado kutangazwa)!!!! moja ni hilo nililozungumzia !!!. Bahati mbaya au nzuri huu ndio ukweli ! Japo natamani hali isingekuwa hivi ili kuwe na ushindani wa kweli !
 
These polls does not reflect elections, as voters are few, have a concentrations of only internet users, which we all know is minor as compared to the nearly 10millions voters registered this time.

Cha msingi, CHADEMA pamoja na kuandaa mikakati mizuri, pia wajiandae na plan B kuayakabili matendo kama wizi wa kura, vitisha, ukandamizaji etc. Fanyeni kama uchaguzi tarime, jinsi wananchi walivyoonyesha ujasiri kuchunga vituo, no ones inn or out after polls. You should have some one leading your tactical team; which thinks and simulates all technics which have been used by CCM previously.
Nyunyu

Unachosema ni kweli kabisa kwamba polls kama hizi ambazo siyo scientific hazi-reflect actual elections, lakini mimi huwa najiuliza inakuwaje hao watu wachache say walio na access ya internet wakaweka mawazo yao kwa mtu fulani na kuwaacha wengine, hilo huwa najiuliza sijapata jibu bado. Na hatuwezi kusema kuwa hao wenye access ya internet wako sehemu moja au hupigiana simu kuwa wa-vote kwa fulani.

Hapa sizungumzii hii poll ya DailyNews nazungumza generally kuwa, hata kama wanao-vote ni wachache lakini huwa kuna ka uhusiano fulani ingawaje kadogo na hali halisi ilivyo. Mfano mimi nina internet na kila nikitoka nje nakuta watu wanazungumza mazuri ya mtu fulani na kwa bahati namkuta kwenye poll anapambanishwa na watu wengine definitely nita-vote kwa yule mtu. Narudia tena hii si scientific research kama zinazofanywa na REDET au Synovate.
 
Chritopher Mtikila and Paul Kyara were disqualified. They are not in the race and so it is not correct to give them any points.
 
Unajua Mkuu Steve, Daily News wanachekesha kweli kweli kwani ni kama vile wako embarrassed na matokeo ya polls wanazozianzisha wenyewe. Ni vigumu kuamini kuwa Daily News inaendeshwa kwa kodi za wananchi, yaani akina Makwaia wamekuwa kama wasemaji wa CCM - angalia leo anavyojaribu kuuma na kupulizia kuhusu mambo ya kihuni yaliyojitokeza katika kura za maoni ndani ya CCM. Kila nikiifungua Daily News picha ninayoipata ni hali ya woga iliyotanda si ndani ya CCM tu bali ndani ya serikali na vyombo vyake. Hali hii kweli inanitisha kwani ni dalili ya mtu anajua atazama na tayari anapanga namna ya kufa na mtu, hayuko tayari kufa peke yake - ukweli ni kuwa CCM wanapanga kuitumbukiza nchi kwenye machafuko kama mambo yatawaendea vibaya.

umenistua moyo wangu heart bits rate ipo juu, its very sadif it will happen.
 
Mi nadhani hiyo ni janja ya CCM, wanaacha watu waseme watakavyo juu ya Kikwete lakini lao ni moja tu tarehe 31.10.2010. Ni uchakachuaji tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom