Hili ni kweli Mkuu, tumeliona kwenye gazeti la jana la Nipashe, kwa walionunua gazeti la nipashe jana kuna poster iliwekwa katikati ya gazeti, ndo ilikua na hiyo picha iliyochakachuliwa.
Picha hiyo pia wanaitoa kwenye matangazo yao na vipindi maalumu vya Mkwere...
Kweli CCM kwa kuchakachua ni kiboko. Hii duplication ni kumdanganya nani!!! Mungu awalipe kwa kiwango hichohcho wanachotufanyia Watanzania.
Tanzania bila CCm na Kikwete inawezekana na inakuja haraka sana.
Hiyo ndo kazi ya Issa Michuzi ambaye yuko na cruew yake ya wapiga picha kwenye kampeni za JK. Utaishiwa zaidi nguvu ukikutana naye kwenye hizo kampeni, huzunguka na picha kuwaonyesha waandishi huku akijisifu alivyo mahiri katika upigaji kura na uchakachuaji wa hizo picha, ni mithili ya kijana mwandishi wa habari anayeanza kazi na ambaye picha yake imetoka gazetini kwa mara ya kwanza, hutaka kila mtu aione!!!!
Nilikuwa naongea na mjumbe wa shina wa ccm hapa mtaani ananiambia kwamba hata yeye kura yake inampa utata sana kuipa ccm.
Naamini maneno ya baba wa taifa yanatimia kuwa upinzani utatoka ndani ya ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.